nimesikia pia, kuna haja ya uchunguzi makini kufanyika, pesa mil 6 kwa mechi ni kwa ajili ya umeme, sasa kwa nini umeme ukatwe kila baada ya mechi wakati umeme bill zinalipwa? hau hizo pesa zinakwenda mifukoni kwa wajanja mafisadi wizarani? uchunguzi ufanywe kwa kweli
Kwa hiyo jana hawakuwasiliana nao!wewe meneja wa uwanja usilete porojo adhabu yako ni moja tu KUNYONGWA.aaaaaghrrrrrr
kwa hiyo kazi yake ni kukusanya mapato tu.huu ni uzembe hastahili kuwa meneja hii ni mara ya tatu ya matukio ya aibu,mara screen la uwanjani limegoma,mara cd imegoma na sasa umeme unazimwa.bila kumyonga huyu mtu next time bomu litalipuka uwanjani na kuleta taharuki na maafa(stampede)"mzaha mzaha......."Anasema mambo meng yapo nje ya iwezo wake wizara inawajibika
tunaendekeza majibu ya kijinga siku zote tuanze kuchukua hatua,akipotea mmoja wote watakaa sawa.Kama kawa, wabongo na longolongo zenye hoja nyepesi zisizokuwa na msingi. Mnawezaje kununua jenereta la uwanja lisilokidhi mahitaji ya uwanja wenyewe? Kama halikidhi mahitaji ya uwanja lilinunulowa la kazi gani? Huu ni upuuzi usiokuwa na msingi. Wakati mwingine majibu yetu huwa yanatufanye tuonekane wajinga.
wasitufanye wajinga Generator zipo na zinakidhi ziwango kama walivyosema Wachina walivyomaliza ujenzi kuwa hata ukikatika umeme mambo yataenda sawa sasa huyu meneja atuambie ukweli wamekunywa hela ya mafuta,katika tume lazima awepo mtaalam wa umeme au tutadanganywa tena.Serikali ya China hufanya vitu vya uhakika ili ikumbukwe kwa muda mrefu,Kasarani-Nairobi,Kampala na Harare zote zilijengwa na Wachina na Genarator zinafanya kazi hapa kuna usanii unaendelea.majenereta yapo mawili makubwa na wachina wakati wanajenga walikuwa wanatest taa za uwanjani kwa kutumia hayo majenereta.labda waseme kiwese kimepanda bei.lakini tayari tume ya watu wanne imeshaundwa kuchunguza.tusubili majibu.mia
huyu jamaa kama ni china mbona jana hiyo hiyo tungeambiwa kuwa kesho saa nne asubuhi kupitia tv ya cctv atanyongwa hadi kufa, sisi huku michezo ni mingi. hata kwenye jambo la serious sisi tunaleta utani.Kwa hiyo jana hawakuwasiliana nao!wewe meneja wa uwanja usilete porojo adhabu yako ni moja tu KUNYONGWA.aaaaaghrrrrrr
majenereta yapo mawili makubwa na wachina wakati wanajenga walikuwa wanatest taa za uwanjani kwa kutumia hayo majenereta.labda waseme kiwese kimepanda bei.lakini tayari tume ya watu wanne imeshaundwa kuchunguza.tusubili majibu.mia
watanzania tumezd kwa uzembe na upuuzi na rushwa zsizo na maana coz haingi akilin kwamba uwanja wa kisasa kama ule kukosa standby generator yenye uwezo wa kuendesha mfumo mzma wa uwanja. Kama sio rushwa n nn maana naamin waliofanya installation ya electrical system walitoa pia ushauri wa kind na power ya generator inayohtajka. Its time sasa watendaj waanze kuwajbka kwa matendo yao na sio kukwepa lawama na kutoa majb ya kilev
Meneja wa Uwanja wa Taifa amesema kuwa anashangaa ni kwanini jana TANESCO walikata umeme mapema wakati kwa muda wote wa mashindano walikuwa wanawasiliana nao mara kwa mara wasikate umeme......pia amesema kuwa jenereta lililopo halimudu kuwasha umeme pale uwanjani........maswali zaidi amesema waulizwe wizara.
Sosi:redio wani
Juzi ile hawakuwasiliana? Haya mashirika mengine yanafuja pesa tu wala hayana tija kwa taifa. Vyanzo toka walivyojengewa na wazungu wao hawajaongeza hata kimoja cha uhakika? wao wanakalia kununua magari ya kifahari huku wakitegemea kupandisha gharama za umeme ili wayaendeshe. Yanamwisho haya tunahitaji viongozi wenye akili na si bora kiongozi.