Kukatika kwa umeme jiji la DSM

Kukatika kwa umeme jiji la DSM

sily

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
926
Reaction score
578
Kwa wakaz wa Dar umeme umekatika muda wa saa moja na nusu,TANESCO kwanini hamtoi taarifa mapema wengine tunawagonjwa jambo la kushangaza na hata ulvyorudi mwanga ni mdogo..kesho ntaenda kufungua mashtaka kudai fidia
 
Pole mkuu kumbe ni sehemu kubwa umekatika..
Umekuharibia vitu
 
Mkuu nilikuwa namhudumia mgonjwa hadi ameanguka chini nimepatwa na hasira kwanini ninunue umeme halafu nanyanyasika hivi
 
Umeme umekatika? Eheheheheheeeee ahahahahaaaa kwa kwa kwaaaaaaaa:becky::becky::becky:
 
Raia mtamkumbuka Muhongo...

Alijitahidi sana kuifanya nishati ya umeme walau iwepo ya kutosha...
 
hakuna tofauti yoyote alipokuwepo na sasa...

Una uhakika?

Katika historia ya mawaziri wa wizara ya nishati, Muhongo kajitahidi...

Sio Kikwete wala Ngeleja walioweza kufikia ufanisi wa Sospeter...
 
Una uhakika?

Katika historia ya mawaziri wa wizara ya nishati, Muhongo kajitahidi...

Sio Kikwete wala Ngeleja walioweza kufikia ufanisi wa Sospeter...

We mbea sana! Ni teammuhongo
 
Una uhakika?

Katika historia ya mawaziri wa wizara ya nishati, Muhongo kajitahidi...

Sio Kikwete wala Ngeleja walioweza kufikia ufanisi wa Sospeter...

kipindi cha Muhongo kukatika katika kwa umeme kulikuwepo pia tena kwa sana tu...

hakuna tofauti yoyote ile...
 
Back
Top Bottom