Kukataliwa kunauma

Asante mkuu kwa ushauri wako
 
Ili Upone:1) Kubaliana na Hali halisi hatakama imekuuma vipi ndio njia pekee ya kupona.. Usiendelee kubishana na Ukweli kwamba "Dis can't Be" utaumia zaidi na sio Solution hautapona.. Accept alichokuambia n respect t. Tena nafuu kwakuambia ukweli kuliko angeendelea kukudanganya.. "Hurt Me with the truth never comfort me With a Lie" bora imekua hvyo kuliko angeendelea kukupotezea Muda. Tafuta Mahali mpate Muda wa kuzungumza vizuri na Mfunge kurasa kwa Amani. Pole Mkuu ila Sio Mwisho wa Maisha pengne huwezi kujua Mungu kakuepusha na nini.
 


tafuta mwingine mkali kuliko yeye...hio ndio njia bora ya kumsahau mtu!
 
Sijui amepatwa na nini,ila pole. Kubali tu matokeo japo sio rahisi,ila huwezi kulazimisha maji kupanda mlima. Jiweke pembeni subiri wa kwako
Usisahau kuna kunuka midomo etc ambayo si rahisi kujua kwa kuchati au kupiga simu
 
the best choice comes from multiple selections.

wewe umejichagulia mke kutoka kwenye kapu lenye mke mmoja, lazima uumie tu.

Next time, fanya comparisons kutoka kwenye multiple choice.

Ukikosa A, pata B.
 

Hahahahhaha preta wewe
 

mwsho mkumbshe atafute hela kwa nguvu...na gari...nafkiri koloni lake litarudi.
 
au uliomba show game siku iyo iyo? Punguza mzuka kaka unamtisha mtoto wa watu.
 
Si kwamba labda ananijaribu pengine!!Tumepanga kukutana nae jumamosi ngoja nikamsikilize!!ka vp napiga chini siwezi kulazimisha kupenda pasipopendeka

:flame::llama:Unapiga chini! acha bwebwe wewe,sema unakubali matokeo ya kukataliwa
 
Hukujikweza kweli kaka???
Hapana mkuu wala ckujikweza nilikuwa kawaida tu japo tulikuwa tunazungumza huku tukiwa tunatembea kumsindikiza kwao!!Kwa kifupi hatukupata mda wa kuzungumza alikuwa na haraka!Nimeshindwa kumuelewa hata hajanijua vizuri kafikia uamuzi huo
 
Pole asee lakin utajifunza next time hizi blind dating hazitaki kuegemea sana au kuwa na great expection kuwa mnapendana so hamjaonana bado ulichopaswa kufanya ni kumuelekeza kibla cku hiyo hiyo na kumaliza mambo apo piga au hata kama hajakuelewa kiivo asingekuambia angepiga kimya tu jeuri yake ni ww umekuwa dhaifu na umelilia sana muda mwingine bora uwe bize na kumpotezea demu hata kama wampenda akigundua huna time nae kabisa atajirudi na kungangania apo muendeshe kibishi sio kulia lia na uwe na ujasiri wa lolote hata mahusiano yaki breaker weka maana nani hujali soon atarudi ukiwa bold kuto kucare


Ushauri wangu kama unaenda meet nae jumamosi then kwa nia ya story tu ataenda kukuchoka zaidi panga nae then ikifika hio cku mwambie mambo yameingilina endelea na trap za hatari cku akitia mkuu geto kwako au popote kwenye chumba then mpo wawili tu maliza ata nguvu usiombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…