gwajae
Member
- Apr 15, 2019
- 12
- 6
Naomba ushauri wenu wanajamii forum:
Nilifanya usaili kuhamia university km warden nikitokea Sekondari na nikaqualify.
Chuo kikatuma ombi la vibali vya uhamisho Utumishi Dodoma, sasa vibali vimetoka ila baadhi ya walioombewa nikiwepo mm utumishi wamekatalia eti kwa sababu ya kwamba mwajiri (DED) kazuia uhamisho wngu.
Barua yngu ya maombi mkuu ndo aliecomment kuwa bado ananihitaji kituon lkn co DED wala afisa elimu.Hapo shda iko wapi na nn kifanyike ili nafasi yangu isipotee?
Msaada tafadhali.
Nilifanya usaili kuhamia university km warden nikitokea Sekondari na nikaqualify.
Chuo kikatuma ombi la vibali vya uhamisho Utumishi Dodoma, sasa vibali vimetoka ila baadhi ya walioombewa nikiwepo mm utumishi wamekatalia eti kwa sababu ya kwamba mwajiri (DED) kazuia uhamisho wngu.
Barua yngu ya maombi mkuu ndo aliecomment kuwa bado ananihitaji kituon lkn co DED wala afisa elimu.Hapo shda iko wapi na nn kifanyike ili nafasi yangu isipotee?
Msaada tafadhali.
