Ingiza hii namba unipe majibu,,,,,*#0*# na hii *#1234*#....zikubali jua ndio original,,,zikikataa jua ni copy ila kuna makubaliano wameweka na samsung,,,,,zote ni nzuri tu,,,swala la line ni sawa lazima ukate ,,unaweza tumia nailcuter,,hakikisha unaondoa kava lote la plastiki na kubakiza zile sehemu zenye rangi ya gold tu,,,