Masai Mara
Senior Member
- Dec 25, 2014
- 134
- 54
Wakuu,
Eti ni kweli kuna Dawa ya nguvu za kiume
Eti ni kweli kuna Dawa ya nguvu za kiume
Ndio inahitajika.Msaada wakoZipo ndio, vipi waitaka?
Ni ukweli mtupu, jaribu uone.Duh Everhut uko serious!!
Hahahaha, hata mimi nilishangaa sema nikamezea.Masai anaomba dawa za nguvu ya kiume....kweli mwisho wa dunia unakaribia
Mkuu acha utani na Jambo nyetiDawa ya Nguvu ya Kiume???? Sasa Kama Wewe Mwanamme unataka Nguvu Si Nenda Gym tu...
Wewe tapeli tu, kwanini usiweke hapa unufaishe umma, mpaka ukapewe 20 elfuhskuna dawa sababu ho si ugonjwa ni Ukosefu wa kitu fulan mwilin ndio una kua na upungufu kama njaa utaitaj chakula kama kiu utaitaj maj sasa baada ua kula chakula ule dawa za kupooza njaa unajimaliza bure viagra na madawa ya kienyej yanaua uwezo wa watu mimi natoa formula ya matunda tu ambayo utakula kwa mda wa week kadhaa lakin kuanzia day two utaona change ndan ya week utapona lakin usiache endelea bnayo mpka mwili uwe na uwezo wa asili so unaweza fanya week mbili mwez na nk lakin uendelee kujaza vitamin hiv siku moja moja ili mwili uwe fit kimapenz gharama za ujuz wangu ni 20000 elfu 20 tu
ujuzi huu sikuupata bure nilihangaila sana kufanya tafit nishakubali had kula mavi ya mbuzi kama karanga na mkojo wa ngombe ili kutafuta utatuzi hakuna mzizi ambao sijaula nimekula had mboga za majan bila kupikwa nimehangaika sana leo bipa huruma eti nitoe bureee ...hahaaa sawa mi tapeli ila angalia wwnzake wanavyopona katika instagram accountvyanguWewe tapeli tu, kwanini usiweke hapa unufaishe umma, mpaka ukapewe 20 elfu