icca
Senior Member
- Nov 8, 2014
- 186
- 177
habari zenu wana jukwaa,
Ni mda umepita nilikuja na thread ya kuomba kazi lakini bahati mbaya sikubahatika niliendelea kufanya biashara zangu ndogondogo adi sasa,leo nakuja kwenu kuomba ushauri na kupata mawazo tofauti nmepata nafasi ya kujitolea katika halimashauri mpya wilaya fulan morogoro kwa lengo la kupata uzoefu na kupata advantage ya kazi pindi zitakapotangazwa ndani ya halmashauri naomba ushauri wapendwa je ni hatua nzuri?au nisubiri adi ajira mpya zitakapotoka bado nipo njia panda,msaada wa mawazo tafadhali
Ni mda umepita nilikuja na thread ya kuomba kazi lakini bahati mbaya sikubahatika niliendelea kufanya biashara zangu ndogondogo adi sasa,leo nakuja kwenu kuomba ushauri na kupata mawazo tofauti nmepata nafasi ya kujitolea katika halimashauri mpya wilaya fulan morogoro kwa lengo la kupata uzoefu na kupata advantage ya kazi pindi zitakapotangazwa ndani ya halmashauri naomba ushauri wapendwa je ni hatua nzuri?au nisubiri adi ajira mpya zitakapotoka bado nipo njia panda,msaada wa mawazo tafadhali