MKALI WA MAMBO JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 211 Reaction score 146 Oct 8, 2018 #1 Bibi yako mwenye umri wa miaka 95 anatakiwa kufanyiwa surgery ambayo itagharimu karibia milion 15 Na wewe benki una takribani milion 16 ambazo umeanza kuziweka tangu 2010 je utalipa..? Funguka
Bibi yako mwenye umri wa miaka 95 anatakiwa kufanyiwa surgery ambayo itagharimu karibia milion 15 Na wewe benki una takribani milion 16 ambazo umeanza kuziweka tangu 2010 je utalipa..? Funguka
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Oct 8, 2018 #2 Bibi atanisamehe kwani mwanae yuko wapi saa hizo???
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,080 Reaction score 165,195 Oct 8, 2018 #3 Tutakutana peponi
Dabby Jr JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 324 Reaction score 261 Oct 8, 2018 #4 Madame S said: Bibi atanisamehe kwani mwanae yuko wapi saa hizo??? Click to expand... Acha nicheke kwa sauti
Madame S said: Bibi atanisamehe kwani mwanae yuko wapi saa hizo??? Click to expand... Acha nicheke kwa sauti
Kiporo kipya JF-Expert Member Joined Nov 30, 2017 Posts 401 Reaction score 388 Oct 8, 2018 #5 Atapambana na Hali yake
Madame S JF-Expert Member Joined Mar 4, 2015 Posts 17,177 Reaction score 34,444 Oct 8, 2018 #6 Dabby Jr said: Acha nicheke kwa sauti Click to expand... et 15mllns, nimpe bibi afanye surgery itabidi akubali umri ushamtupa mkono apambane na uzee wake
Dabby Jr said: Acha nicheke kwa sauti Click to expand... et 15mllns, nimpe bibi afanye surgery itabidi akubali umri ushamtupa mkono apambane na uzee wake
Dabby Jr JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 324 Reaction score 261 Oct 8, 2018 #7 Evelyn Salt said: Tutakutana peponi Click to expand... Heeee we mwanamke naona umefunguka la rohoni
Dabby Jr JF-Expert Member Joined Apr 16, 2018 Posts 324 Reaction score 261 Oct 8, 2018 #8 Madame S said: et 15mllns, nimpe bibi afanye surgery itabidi akubali umri ushamtupa mkono apambane na uzee wake Click to expand... Muda mwingine bana wazee wakubali tu matokeo ya vijana wao
Madame S said: et 15mllns, nimpe bibi afanye surgery itabidi akubali umri ushamtupa mkono apambane na uzee wake Click to expand... Muda mwingine bana wazee wakubali tu matokeo ya vijana wao
super mimi JF-Expert Member Joined Oct 21, 2016 Posts 223 Reaction score 173 Oct 8, 2018 #9 Mimi natoa ..bana....ilihali bado Nina nguvu ya kutafuta ...I hope nitapata zingine....
MKALI WA MAMBO JF-Expert Member Joined Aug 9, 2018 Posts 211 Reaction score 146 Oct 8, 2018 Thread starter #10 super mimi said: Mimi natoa ..bana....ilihali bado Nina nguvu ya kutafuta ...I hope nitapata zingine.... Click to expand... Maamuzi mazuri sana na ya kiroho
super mimi said: Mimi natoa ..bana....ilihali bado Nina nguvu ya kutafuta ...I hope nitapata zingine.... Click to expand... Maamuzi mazuri sana na ya kiroho
J Juniorlikukwa Member Joined Aug 24, 2016 Posts 14 Reaction score 10 Oct 9, 2018 #11 Sometimes sio vizuri kumzuia mtu kurudi kwa baba kwenye makazi na raha za milele.
pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,967 Reaction score 7,658 Oct 9, 2018 #12 Nisiudanganye moyo tu
mocker2 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 216 Reaction score 205 Oct 9, 2018 #13 Mim kwakua nampenda bibi angu ntampa zawad ya milion moja kabla ajaaga dunia ale vizur
C Ctech JF-Expert Member Joined Nov 21, 2010 Posts 763 Reaction score 829 Oct 9, 2018 #14 Natoa Kiroho safi, Huenda ni namna tu Mungu ananipima!
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,908 Reaction score 104,009 Oct 9, 2018 #15 hapo nafunga macho na kumwambia bibi kila nafsi itaonja mauti hvy asijali tutakutana mbele huko.
Affet JF-Expert Member Joined Jul 8, 2018 Posts 1,189 Reaction score 1,677 Oct 9, 2018 #16 mbaga jr said: hapo nafunga macho na kumwambia bibi kila nafsi itaonja mauti hvy asijali tutakutana mbele huko. Click to expand... Inauma sana unalipia baada ya matibabu anakaa cku mbili anafariki pumbaaaaavu waweza dai pesa zko sometimes maisha ni kamari mungu katuficha mengi!
mbaga jr said: hapo nafunga macho na kumwambia bibi kila nafsi itaonja mauti hvy asijali tutakutana mbele huko. Click to expand... Inauma sana unalipia baada ya matibabu anakaa cku mbili anafariki pumbaaaaavu waweza dai pesa zko sometimes maisha ni kamari mungu katuficha mengi!
Trouton JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 1,203 Reaction score 1,387 Oct 9, 2018 #17 Kwani watajua kama ninazo hizo hela, ila kwa huo umri lazma ujifikirie mara mbili mbili kama unabet