Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.
Duuu! Sema ubaya wa hii fani mbwana kazi ni nyingi lakini vyeti haviyawahi matter. Yaani uzoefu aisee kunaviwanda hasahasa vya wa china aisee hata cheti Cha darasa la Saba hawakuulizi. Wao wanakupa mzigo tengeneza ukiweza sawa ukishindwa wanakutimua
Duuu! Sema ubaya wa hii fani mbwana kazi ni nyingi lakini vyeti haviyawahi matter. Yaani uzoefu aisee kunaviwanda hasahasa vya wa china aisee hata cheti Cha darasa la Saba hawakuulizi. Wao wanakupa mzigo tengeneza ukiweza sawa ukishindwa wanakutimua
Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.
Wakuu habari zenu, mimi ni mhitimu wa kada ya diploma in Mechanical engineering natafuta kazi ama kujitolea.
Mimi ni kijana mchapa kazi kwa ambaye anaweza kunisadia tunaweza kuwasiliana.