Kujitamburisha mwanachama mpya

condoliza

Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
11
Reaction score
3
Hodi wanajamii: Napenda kujitambulisha kama mwanachamna mpya. Naomba mnipokee kwa mazito matatu.
 
mazito matatu

1:kwa nn hali imekua ngumu
2:kwanini uha kiki hauja enda jeshi la wananchi
3:tupe ukweli juu ya scopion na said

mazito yako hayo apo jibu
 
1. Lile container la MSD lilokuwa linatoka Keko kwenda Muhimbili kwa miezi3 limefikia wapi?
2. Kwanini Baba J hajaonyesha Salary Slip yake mpaka leo hii?
3. Kile Kivuko MV Dar es Salaam kitaanza lini trip zake za Dar to Bagamoyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…