LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,312
- 6,638
Kuna mijanamke imejichubua miili kama nguruwe aliyetoka kutolewa nywele na maji ya moto,mna nini nyie wanawake mnaojiharibu asili yenu?nani kawadanganya kuwa tunawapenda mlivyoungua na kukomaa ngozi kwa kemikali?mbona majirani zetu Kenya na Uganda hawana huo ulimbukeni?
binafsi napinga na kuwachukia wanawake wanaojichubua...ni umasikini sana wa fikra kuharibu asili yako kisa umnase tu/danga!
endeleeni kuwaibia walevi..
binafsi napinga na kuwachukia wanawake wanaojichubua...ni umasikini sana wa fikra kuharibu asili yako kisa umnase tu/danga!
endeleeni kuwaibia walevi..