wizi wa nini wakati wao wameita na mm natoa taarifa kwa wadau...ingekuwa ya kuwekwa ningewaambia kweli?? au..
tax officer mkuu
Mi ninachoshauri, waambieni wadogo zenu wasome sana ili wasiwe kama wahasibu niliowaona last week ofisini kwetu. Nakubari kuwa waliosoma uhasibu ni wengi lakini wanaoujua ni wachache! kwa hiyo msiogope tu wingi, wengine ni kama wamesoma hakuna!
Mi nafanya kazi na international org hapa tz, tangu mwezi jana tulikuwa tunaitaji wahasibu wawili, hatukutangaza gazetini, ila tulitangaza ndani humo. tulipokea application zaidi ya 400. tukaamua kuchuja, tukatafuta wenye GPA above 3.5 ili kuwapunguza, huwezi amini tulibaki na less than 30 application! Tukaongeza kigezo cha mtu awe angalau na full Module E, tulibaki na sita tu!
Kwa hiyo jamani msilahumu sana, kwanza GPA zinawaruhusu au mnairahumu tu serikali? eti mtu ana 3.0, naye anataka aitwe NAO! si utani huu! ni huu jamani.
kama hukuitwa uache visingizio, mara umangi sina mara nini, jipeleleze kwanza wewe mwenyewe kama unastahil. Mi ninachojua Huingii TRA kama huna angalau upperr!