Kwani mkuu ukiwa na gari huwa unawaambia watu wakuite kwa kutumia gari lako? Kwa mfano huwa unasikia watu wakiitwa we mwenye toyota au we mwenye subaru, kimsingi hakuna. Sasa linganisha na watoto, kuna haja gani ya wewe James kuwa baba John, kwani hilo jina lako ulipewa la kazi gani??
Mie niiteni mama totooo langu. Napendaje? I just cant enough if this.
Jamaa katoa mfano hai we umeubadilisha umekuwa mfano mfu!!
We msukuma hujambo? Mwanao ana miaka mingapi siku hizi mama nanihii 😀?niite jina langu bana mambo ya mama fulani yanipitie kushoto kuzeeshana tu na tabia za kifala.
Mie mpaka leo mama yangu anaitwa jina lake.
I prefer that.
Ila ukikakaa na miswahili utakoma nakuambia litakuita kwa sauti kubwaaa "we baba matatizoooooo hujambo"
Catherine za siku dada yangu?Hiki kizazi cha mama fulani enzi za wazazi wetu haikuwepo. Mimi ntapenda kuitwa jina langu na mwenzangu hivyo mambo ya mama/baba fulan i don't like hata kumwita mumwita mume wangu ba fulani haileti sense hadi watoto wanashindwa kujua majina ya wazazi wao kwangu huo ni upuuzi na hauna logic na wapi hii inaaply kama si uswahilini na wengine tumeiga mambo ya kiswahili tuu kule kijijini kwetu kulikuwa hakuna hayo mambo lakini kuanzia kizazi cha 90 ndo yameingia haya makitu. I like kuitwa jina langu Catherine na siyo eti ma pascal means what. Ni mawazo yangu
Five years back!!nalipenda jina langu jamani mwe!
just ..................................