Kuitwa Mama Fulani na Baba Fulani

Kuitwa Mama Fulani na Baba Fulani

Mie niiteni mama totooo langu. Napendaje? I just cant enough if this.
 
Tatzo langu n kwann jina linatumika la mtoto wa kwanza tu?inawaathr kisaikolojia watoto wengne
 
Kwani mkuu ukiwa na gari huwa unawaambia watu wakuite kwa kutumia gari lako? Kwa mfano huwa unasikia watu wakiitwa we mwenye toyota au we mwenye subaru, kimsingi hakuna. Sasa linganisha na watoto, kuna haja gani ya wewe James kuwa baba John, kwani hilo jina lako ulipewa la kazi gani??

Jamaa katoa mfano hai we umeubadilisha umekuwa mfano mfu!!
 
nalipenda jina langu jamani mwe!
just ..................................
 
unajua ukiitwa jina la mtoto inaleta heshima fulani kwenye jamiii
we mwenyewe unajisikia rahaaaaaaaaaaaa kuwa umezaaaaa me sioni kama inaleta ubaguzi kwa wasiozaaaaa kwa wao wanaweza kuitwa kwa majina ya waume zao
 
ni tamaduni2 za watu na mazoea,mfano sisi tunamuita mama na nje wanamuita jina la mumewe yan 'mrs' then jina la mumewe na heshima ipo2 na sidhan kama kuzaa ndio kuheshimiwa kwa 100% may be ulioa/olewa kidoogo...Lakin kimataifa huwez kuitwa mama/baba fulani hata km huna cheo chochote utaitwa jina lako or la ukoo utasikia tu ''Welcome mr Ozily''sio baba nanhii.....Am done
 
mimi ndio mswahili NAMBARI MOJA.
naona raha sana mtu akisema we wavisa maswahili...
 
niite jina langu bana mambo ya mama fulani yanipitie kushoto kuzeeshana tu na tabia za kifala.
Mie mpaka leo mama yangu anaitwa jina lake.
I prefer that.
Ila ukikakaa na miswahili utakoma nakuambia litakuita kwa sauti kubwaaa "we baba matatizoooooo hujambo"
We msukuma hujambo? Mwanao ana miaka mingapi siku hizi mama nanihii 😀?
 
Hiki kizazi cha mama fulani enzi za wazazi wetu haikuwepo. Mimi ntapenda kuitwa jina langu na mwenzangu hivyo mambo ya mama/baba fulan i don't like hata kumwita mumwita mume wangu ba fulani haileti sense hadi watoto wanashindwa kujua majina ya wazazi wao kwangu huo ni upuuzi na hauna logic na wapi hii inaaply kama si uswahilini na wengine tumeiga mambo ya kiswahili tuu kule kijijini kwetu kulikuwa hakuna hayo mambo lakini kuanzia kizazi cha 90 ndo yameingia haya makitu. I like kuitwa jina langu Catherine na siyo eti ma pascal means what. Ni mawazo yangu
Catherine za siku dada yangu?
 
nalipenda jina langu jamani mwe!
just ..................................
Five years back!!
And I still say the same!!
I love my name.
Haipunguzi popote kuwa ni mama wa watoto watatu, first born akiwa on her 18th.
 
Back
Top Bottom