Kuitwa kwenye usaili TANAPA

Kuitwa kwenye usaili TANAPA

Diga Diga

Senior Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
187
Reaction score
65
Wadau, nasikia kuwa TANAPA wametoa majina ya wanaoitwa kwenye usaili wa nafasi mbalimbali zilizotangazwa mwezi Machi, 2013. Mwenye hiyo link atupie tafadhali maana kwenye website yao naona hakuna kitu!
 
Acha kupoteza muda wako eti unaenda kufanya interview Arusha ya post 1 then shortlist ni 500 lakini kama una nauli ya kupoteza nenda ukapambane na baridi ya Arusha then utoke mikono mitupu
 
Acha kupoteza muda wako eti unaenda kufanya interview Arusha ya post 1 then shortlist ni 500 lakini kama una nauli ya kupoteza nenda ukapambane na baridi ya Arusha then utoke mikono mitupu

Watu wanajua kuchezea akili za wabongo.
 
Acha kupoteza muda wako eti unaenda kufanya interview Arusha ya post 1 then shortlist ni 500 lakini kama una nauli ya kupoteza nenda ukapambane na baridi ya Arusha then utoke mikono mitupu

Bora umemueleza ukweli manake vitu vingine sio lazma uwe na akili ya darasani kufikiri,yakuzaliwa tu inatosha kufikiri.
 
Acha kupoteza muda wako eti unaenda kufanya interview Arusha ya post 1 then shortlist ni 500 lakini kama una nauli ya kupoteza nenda ukapambane na baridi ya Arusha then utoke mikono mitupu

Usipende kukata tamaa mapema utakosa mengi, kwan hata kama mungu amekupangia hyo kaz uipate ww unakuwa umejikataa mwenyewe.kwan unafikiri ww huna vigezo vya kupata hyo nafasi? kumbuka hakuna aliyemkuu kuliko mungu mwenyez hvo akiamua iwe itakuwa tu.
 
Acha kupoteza muda wako eti unaenda kufanya interview Arusha ya post 1 then shortlist ni 500 lakini kama una nauli ya kupoteza nenda ukapambane na baridi ya Arusha then utoke mikono mitupu
Wewe unayejiita umezaliwa tena una akili sawa sawa kweli? Au ulizaliwa mapema sehemu ya akili zako ilikuwa bado haijatengemaa? Umeona hizo kazi zote za TANAPA zina watu 500 kwa post 1? Kazi gani hiyo? Hebu itaje. Usije ukawa unaropoka tu hapa kumbe hata kusoma kwenyewe hujui na vyeti ulivyo navyo vilitokana na NECTA ku-resit mtihani wa F4 na wala sio wewe!
 
Wewe unayejiita umezaliwa tena una akili sawa sawa kweli? Au ulizaliwa mapema sehemu ya akili zako ilikuwa bado haijatengemaa? Umeona hizo kazi zote za TANAPA zina watu 500 kwa post 1? Kazi gani hiyo? Hebu itaje. Usije ukawa unaropoka tu hapa kumbe hata kusoma kwenyewe hujui na vyeti ulivyo navyo vilitokana na NECTA ku-resit mtihani wa F4 na wala sio wewe!
Kwa kuwa wewe either baba yako yupo TANAPA ama una backup kubwa nyuma yako siyo wote wako kama wewe, ukweli ndio huo mimi nimekuwa mfanyakazi wa TANAPA kwa zaidi ya miaka 5 I know in and out ya TANAPA ni kwamba 90% ya watu wanaajiliwa kwa vimemo na interview ni ushahidi tu basi.Sasa unataka nimshauri mtu anaetokea huku Biharamlo aje kufanya interview tena ya kuandika whetever it will be iwe Dar ama Arusha is a wastage of time and money.That is how it is and I stand to be corrected alI stand to be corrected always
 
chek kwnye web yao, ni kweli wametoa ni zile post mwaka jana july.
 
Unayesema umefanya kazi TANAPA kwa zaidi ya miaka 5.Ulikuwa katika nafasi ipi ndani ya TANAPA?
 
Unayesema umefanya kazi TANAPA kwa zaidi ya miaka 5.Ulikuwa katika nafasi ipi ndani ya TANAPA?

Hayakuhusu lakini nakuambia mimi nimekuwa TANAPA for almost 5 years na hakuna mbuga ya Tanzania sijawahi kufika na kujionea hali halisi, anzia Katavi-Rukwa, Hifadhi za Ugala mkoa mpya wa Katavi, panda Hifadhi za Manyara, njoo kwenye mapori ya Burigi huko Kagera na mapori ya Muyovosi na Gombe Kigoma, njoo Serengeti national park na vigame reserves vyake vya Fort Ikoma na Ikorongo game Reserves, panda Pangani Tanga na shuka kote huko Ruaha na Selous kote ni nyumbani.So in short mimi naijua TANAPA yote na kila linalotendeka.Niliachana na TANAPA baada ya kuona majungu yamezi na watu kuwinda nafasi yangu whether Iam dead or alive someone wanted it kwa kuahidiwa bahasha.So am talking from my experience kwamba kuna mtu wa ndani aliniambia kuwa hata ile interview waliyokuja kufanyisha Dar mwaka jana mwezi wa 8 ilikuwa ushahidi tu kazi walikuwa wameshapewa waliotanguliza vibahasha
 
wewe unayejiita mfanyakazi wa TANAPA ni muongo mkubwa wewe si staff wa Tanapa cz huna ata dtail Tanapa now days interview zpo fair cz ata ajra nyingi wanahire taasisi za nje kama NBAA,DELOTE,ERNEST&YOUNG kufanya interview den wanaletewa waombaji waliofaulu ila si kwel kwamba TANAPA ni lazma ubebwe mkurugenz mkuu wa sasa yupo very strctly atak isue za ukabila na kujuana....wewe sema unafaham majina ya maeneo/national parks kwa sababu unapta kwa basi i.e fort serengeti ila si mtumishi wa TANAPA ni mtafta ajira tu...waache wenzako waje kujarbu bahat zao
 
Hayakuhusu lakini nakuambia mimi nimekuwa TANAPA for almost 5 years na hakuna mbuga ya Tanzania sijawahi kufika na kujionea hali halisi, anzia Katavi-Rukwa, Hifadhi za Ugala mkoa mpya wa Katavi, panda Hifadhi za Manyara, njoo kwenye mapori ya Burigi huko Kagera na mapori ya Muyovosi na Gombe Kigoma, njoo Serengeti national park na vigame reserves vyake vya Fort Ikoma na Ikorongo game Reserves, panda Pangani Tanga na shuka kote huko Ruaha na Selous kote ni nyumbani.So in short mimi naijua TANAPA yote na kila linalotendeka.Niliachana na TANAPA baada ya kuona majungu yamezi na watu kuwinda nafasi yangu whether Iam dead or alive someone wanted it kwa kuahidiwa bahasha.So am talking from my experience kwamba kuna mtu wa ndani aliniambia kuwa hata ile interview waliyokuja kufanyisha Dar mwaka jana mwezi wa 8 ilikuwa ushahidi tu kazi walikuwa wameshapewa waliotanguliza vibahasha



Wewe bornagain ni muongo tena mchonganishi, na inawezekana una-chuki binafsi.
Hata uluchokiandika hapa juu unadanganya watu bila aibu. Muogope Mungu kwa kudanganya na kujidai unaifahamu TANAPA na kuisema mabaya na kuichafua. Udhibitisho wa wazi wazi kuwa wewe ni Muongo ni kuweka mapori ya akiba chini ya TANAPA. TANAPA haijawahi simamia mapori ya akiba (game reserves) hata siku moja.

Kajipange upya uje na hoja nyingine ya kujifanya wewe ulikuwa mtumishi wa TANAPA. Kafie mbali kwa uongo wako. PUMB..FU
 
BORNAGAIN
anzia Katavi-Rukwa, Hifadhi za Ugala mkoa mpya wa Katavi, panda Hifadhi za Manyara, njoo kwenye mapori ya Burigi huko Kagera na mapori ya Muyovosi na Gombe Kigoma, njoo Serengeti national park na vigame reserves vyake vya Fort Ikoma na Ikorongo game Reserves, panda Pangani Tanga na shuka kote huko Ruaha na Selous kote ni nyumbani.So in short mimi naijua TANAPA yote na kila linalotendeka..So am talking from my experience kwamba kuna mtu wa ndani aliniambia kuwa hata ile interview waliyokuja kufanyisha Dar mwaka jana mwezi wa 8 ilikuwa ushahidi tu kazi walikuwa wameshapewa waliotanguliza vibahasha


Wewe UNAYEJIITA BORNAGAIN NI TAPELI NA MUONGO MKUBWA NA HUNA ATA DTAIL KUHUSU TANAPA NYIE NDIO MATAPELI 1.TANAPA HAKUNA HIFADHI INAYOITWA UGALA 2.HAKUNA PARK INAYOITWA PANGANI 3.BURIGI NI GAME RESERVE HAIPO CHINI YA TANAPA 4.SELOUS NI GAME RESERVE HAIPO CHINI YA TANAPA 5.HAKUNA GAME RESERVE INAYOITWA FORT IKOMA NI KITUO CHA MAKAZI YA WATUMISHI/STAFF KILICHOPO NJE YA SERENGET 5.MUYOVOSI SI PARK NA HAIPO CHINI YA TANAPA WEWE UNAONA MATANGAZO YA TANAPA TBC ILA WEWE NI TAPELI SI STAFF WA TANAPA....WALIOFANYIWA INTERVIEW DAR HAKUNA ALIYEITWA ATA MMOJA MPAKA SASA KUTOKANA NA MABADLKO YA MAHITAJI HIVYO WANASBUR BUDGET YA NEXT YEAR ACHA UTAPELI USILOLIJUA NI SAWA NA USKU WA GIZA
 
mmmmmmmh!!! tuwe wakweli tu,ajira za tanapa ni kizungumkuti sana!!!
 
kama mzaz wako ana uwezo mdogo kama wangu then usimuumize kumwomba nauli na fedha ya kujikimu kwenye interview ambayo utakosa na kukwazika bure......
 
Back
Top Bottom