Kuitwa kwenye Usaili: Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro(NCAA)

Hapo kila hatua wanakaa watu BENCHI boss wangu Jitahidi Pia MUNGU atakufanyia wepesi MKUU.
 
wewe leseni huna? mimi nina document zote na sijaitwa
 
Hapo kila hatua wanakaa watu BENCHI boss wangu Jitahidi Pia MUNGU atakufanyia wepesi MKUU.
Sasa mfano kama wataki wa kutoa waliandika uwe na leseni,nikatuma maombi bila leseni na usaili wameniita hapo sijui inakuwaje ikitokea nimepita leseni hawataangalia ama ,naogopa kupoteza nauli yangu
 
Kama anasimamia Utumishi Basi Maswali ya Darasin yanahusika, sasa kwa Watu wa Planning wameita course mbalimbali.... Hapo kwenye maswali sijui itakuwaje....
 
Nenda kapme bahati yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo nauli ya kujichanga fasta hivo inakuw ngumu ngoja nitulie kwanza maana kwenda kuongeza uzoefu wa interview saizi siitaji, naitaji kazi uzoefu nimepata wa kutosha kutoka PSRS.

kumbuka wengine tumetoka Daresalama juzi tuu na uzoefu wa kuudhulia interview kiukweli kwangu si haba.
 
 
Ntaenda hta kushangaa chuga ni moja ya maendeleo pia



Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu nenda kama leading contenstant...nikupe ushuhuda kidogo ....mwaka flani niliitwa sehemu interview (nafasi 4 tuliitwa 700) na ilikua ya utumishi ....washkaji walikataa kwenda wakasema sehemu hio lazima watu wapo so tusijisumbue ....m nkaenda ....unbelievable nlikua among 4 waliopata kazi
 
Sisi tumeitwa 384 nafasi 2,ila naenda kupambana mpaka kieleweke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…