Kuitwa kwenye usaili AAR Health services

delly

Member
Mar 24, 2010
55
6
watu wengine bwana wanatuma emails za taarifa za interview kwa waombaji wa ajira wakati sio wahusika wa AAR HEALTHY Services. Hii inakuaje? inamana applications za hapa online documents zinakuwa open kwa kila mtu? huyo dada anaitwa nancy
 
Mkuu yapi yamekusibu,sijakuelewa! Umetapeliwa au umeombwa hongo?
 
Back
Top Bottom