Kuitwa kwenye interview

Kuitwa kwenye interview

Tinnah999

Member
Joined
Dec 19, 2018
Posts
5
Reaction score
0
Habari wakuu, kuna ambaye ameshaitwa kwenye usahili MDH kwa kazi walizotoa September na November?
 
Habari wakuu, kuna ambaye ameshaitwa kwenye usahili MDH kwa kazi walizotoa September na November?
Siku hizi mashirika yamegeuka kutangaza huku wakiwa na vimemo viunoni,, nadhani watakuwa wameshawafyekelea ,mbali
 
Ofisi yao ya Geita imeshafunguliwa...hizo zilikua za mkoa gani ?
 
Hadi geita walitangaza yani hawaiti watu interview
 
Back
Top Bottom