mwisho wa reli
Member
- Apr 21, 2015
- 10
- 0
Ndugu wapendwe hivi BOT wameshaita watu kufanya interview kwenye zile nafazi za note counter? kwa anae fahamu naomba anifahamishe
wameita lin mbona mnamtisha mwenzenu?Washaita mkuu kama huna mtu huko hupati kazi
Sijui chochote ila usiwategemee sana hawa TPA maana ajira zao zimekaa kijanjajanja sana.