Kuitwa kazini

uwiii! yaani umepata ofa ya ajira halafu kabla hujaanza kazi unatakiwa upate mafunzo ambayo mwajira wako anataka ulipie gharama ya mafunzo hayo..., huoni kuwa ni wizi na uwongo? halafu, hakuna utaratibu wa mwajiriwa kulipia gharama za training kwa kazi ya mwajiri unless kuna makubaliano mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…