Na je watatulipa kweli kuanzia april hii au ndio watatuweka vituoni hadi mwezi wa saba bajeti mpya ndio waanze kutulipa .....afu mishahara ya kuanzia april ndio watulipe kama arrears
Na je watatulipa kweli kuanzia april hii au ndio watatuweka vituoni hadi mwezi wa saba bajeti mpya ndio waanze kutulipa .....afu mishahara ya kuanzia april ndio watulipe kama arrears