kama kawaida kama nilivyosema hapo awali kwa wale waliositishiwa ajira zao wajiandae muda wowote kuitwa sasa kuanzia tarehe 15 mwezi huu hadi tarehe 25 mwezi huu jiandae kurudi maeneo yenu mliokuwepo mwanzo! proof
kama kawaida kama nilivyosema hapo awali kwa wale waliositishiwa ajira zao wajiandae muda wowote kuitwa sasa kuanzia tarehe 15 mwezi huu hadi tarehe 25 mwezi huu jiandae kurudi maeneo yenu mliokuwepo mwanzo! proof
Mm nimeambiwa niende nikasaini Leo mktaba bahati mbaya nipo mbali. Nikaambiwa watanisainia tu ... Kwa waliojaza tayari mkataba vip Ni tayari mmeaza kazi au tunasubiri kuitwa tenaaaa.
Mm nimeambiwa niende nikasaini Leo mktaba bahati mbaya nipo mbali. Nikaambiwa watanisainia tu ... Kwa waliojaza tayari mkataba vip Ni tayari mmeaza kazi au tunasubiri kuitwa tenaaaa.
yap ni kweli wanaulizwa ivyo kuwa wa nataka kurudi kazini kuna watu kama 4 wa mahakama wamepigiwa na kuulizwa ivyo pia wengine mfano tamisemi wanajaza mikataba ila ni kwa wenye applicant number so sijui
yap ni kweli wanaulizwa ivyo kuwa wa nataka kurudi kazini kuna watu kama 4 wa mahakama wamepigiwa na kuulizwa ivyo pia wengine mfano tamisemi wanajaza mikataba ila ni kwa wenye applicant number so sijui