Kuitwa kazini udom

nkwezi

Member
May 8, 2007
57
19
Samahani wana jf, hivi watu waliofanya oral interview UDOM wameshaitwa kazini? Hasa madereva na watu wa idara ya afya?
 
Kwa kweli sina uhakika ila nilipata taarifa kuwa tayari sisi tulifanya juzi na sijapata taarifa kama wameitwa pia.
 
dah tutasubiri sana ukitokea umeitwakufanya kazi itakua c mchezo, manake toka mwezi wa nane mwaka jana mpaka januari mmmh!
 
Back
Top Bottom