We ulikuwa phase ya ngapi na umeshapigiwa?wadau kwa wale waliofanya usaili chuo kikuu cha sayansi na technology mbeya kuanzia phrase ya kwanza hadi ya tano,wameanza kupiga kwa waliofaulu,kama vp usikae mbali na simu yako,
Karibuni mbeya,usisahau sweta au koti unapokuja