Kuitwa kazini afisa tarafa lini?

Kuitwa kazini afisa tarafa lini?

Mama Jolene

Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
17
Reaction score
3
Wajameni nauliza kama kuna tetesi za lini wataita kazini nafasi za afisa tarafa kwa wale tuliofanya interview tarehe 5 oct.
 
Wajameni nauliza kama kuna tetesi za lini wataita kazini nafasi za afisa tarafa kwa wale tuliofanya interview tarehe 5 oct.

Walishaita kitambo, nipo rungwe kwa holiday kuna jamaa yangu nimekutana naye leo ametoka kuriport
 
Mbona hawajatoa majina? Tulifanya interview mwezi wa kumi, hebu muulize pls yeye alipata vipi taarifa?
 
Back
Top Bottom