kashikashi
Member
- Jan 20, 2014
- 14
- 0
Hivi jamani TANESCO wameshaita watu wa kufanya interview? maana walitangaza kazi majuzi juzi apa mwezi 2 kwenda wa 3 kama sikosei.
Naombeni mnifahamishe
Naombeni mnifahamishe
Hivi jamani TANESCO wameshaita watu wa kufanya interview? maana walitangaza kazi majuzi juzi apa mwezi 2 kwenda wa 3 kama sikosei.
Naombeni mnifahamishe
Jamani Interview ya Tanesco ishafanyikA AU BADO?kazi walizotangaza mwezi wa pili....naombeni majibu maana sioni simu wala mail,nijue kama nimetoswa au lah