Kuitwa baba

Kuitwa baba

minogaza

Member
Joined
Jul 23, 2019
Posts
73
Reaction score
55
Watoto wa kike siku hizi wanapenda sana kuita baba ukimtokea. Hii imekaaje wakubwa?
Shukrani
 
Hebu weka picha aisee, inawezekana una mvi za asili sasa anadhani ushakuwa babu
 
jina lina uzito,ukiitwa hivo ujue ukiombwa hela sharti utoe kama baba vile hanyimi mtoto hela.
 
1: wengine tunamiss jina baba tunatamani wapenzi wetu wawe kama baba kwetu.

2: si kila mwanaume unaweza muita baba, mwanaume mwenye majibu ya kukatisha tamaa, hajui kukuchukulia kama mtoto, hana huruma , huwezi kumuita baba, unajuwa kuna mwanaume hata asipo Fanya kitu basi ana kutreate in a special way, ila mwingine utataskia " I can't do this' na hapo ukute ni jambo Dogo kweli Huyo utamuita baba?

😢namiss jina baba.
 
Back
Top Bottom