Abdul Razak
Member
- Jun 12, 2015
- 7
- 2
Kama ulikuwa hujui subiri kuumbuka na ushabiki wako katika siasa za bongo.
Wale waislamu wa zanzibar walioko jera na kesi ya kubambikizwa wewe kama muislam wa ccm unaweza toa ufafanuzi kwa nini ccm zanzibar wamewaonea hao mashehe au wewe ni ccm fata upepo.Kama ulikuwa hujui subiri kuumbuka na ushabiki wako katika siasa za bongo.
Kama ulikuwa hujui subiri kuumbuka na ushabiki wako katika siasa za bongo.
kama mwana CDM nina mtihani mgumu kwenye kura ya urais, hata hivyo nimeamua kura yangu iende kwa Magufuli.CCM siyo boksi bali ni wanachama na viongozi wao. Sasa iwapo wana CCM na viongozi wao hao wakihamia UKAWA halafu wana UKAWA wakahamia CCM bado utatoa kura yako kwa UKAWA?
mambo ya waislam hayakuhusu wewe kfrwale waislamu wa zanzibar walioko jera na kesi ya kubambikizwa wewe kama muislam wa ccm unaweza toa ufafanuzi kwa nini ccm zanzibar wamewaonea hao mashehe au wewe ni ccm fata upepo.
Swissme
Jiulize kwanza, kwa nnii ulijiunga na cdm? Kama uliamini katika M4C, then umepotea maana change haiwezi kuja kwa kumchagua Magufuli. Huyu ni mtu alnayebebwa na system na system hiyo ndiyo tunataka kuibadili; hivyo kumpigia magufuli ni kuiimarisha hiyo system; then imani yako ya M4C will never come true (Haitaimia kamwe)kama mwana CDM nina mtihani mgumu kwenye kura ya urais, hata hivyo nimeamua kura yangu iende kwa Magufuli.
mambo ya waislam hayakuhusu wewe kfr
Tunaimani Na Magufuli,nyie bakini na fisadi lenu EL
CCM ndo baba lao kama bado hawakubali basi wasubiri kidogo tu ndo kwanza kazi imeanza ..mabao ya mikono vururu vururu
Kama ulikuwa hujui subiri kuumbuka na ushabiki wako katika siasa za bongo.