hayo magarama baada ya kuishi wote yanapunguaga?
Hiki ni kiswahili mkuu?Inaitwa cohabitation
Habari wanaJf wazima wote?
Ningependa kuuliza je kuishi na mwanamke/mwanaume kinyumba mkiwa hamjafunga ndoa ya kidini/kimila.
Je, hii inahesabika ni ndoa au style hii ya maisha na inaitwaje?
Kuuliza so ujinga
Asante
Hiki ni kiswahili mkuu?
Umeamua kuwa King [MENTION]badiebey[/MENTION]?Kiswahili chake sikijui mkuu
Umeamua kuwa King [MENTION]badiebey[/MENTION]?