Kuinadi katiba mpya ndio silaha pekee ya Lowassa

Kuinadi katiba mpya ndio silaha pekee ya Lowassa

abdul 28

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2012
Posts
325
Reaction score
38
Kufuatia mtirikio wa siasa za Tanzania na uwepo wa Lowassa Lowassa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi Katiba ya Warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na wanasheria waserekali .

Kufanya hivyo ndo kutamuingiza Lowassa ikulu ila kwa kunadi kuondowa umasikini, kunadi elimu bure atapigwa bao na Magufuli.

Lowassa ili ushinde ajenda ni moja ili kukomesha ufisadi na rushwa lazima katiba ya Warioba irudi ukitamka neno hili moja tu shuka jukwaani umemaliza kazi.
 
Amepta ajira, akikumbuka anachodhani ni hoja anakimbia kuandika bila hata kutathmini mantiki ya kilichomjia
 
Bila katiba mpya hatuwezi kutoka hapa tulipo
 
kufuatia mtirikio wa siasa za tanzania na uwepo wa lowasa lowasa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi katiba ya warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na wanasheria waserekali
kufanya hivyo ndo kutamuingiza lowasa ikulu ila kwa kunadi kuondowa umasikini kunadi elimu buer atapigwa bao na magufuli
Lowasa ili ushinde ajenda ni moja ili kukomesha ufisadi na rushwa lazima katiba ya warioba irudi ukitammka neno hili moja tu shukwa jukwaani umemaliza kazi

Mi nashangaa hawa wapiga kampeni wa UKAWA wanaacha kupiga bull wanazunguka zunguka tu. HOJA KUBWA MUHIMU AMBAYO CCM HAWAWEZI KUIGA NI KUREJESHA KATIBA YA WANANCHI MEZANI, NA NDIYO MAANA YA UKAWA. JAMABO HILI NDIO LA KUSHUPALIA MAJUKWAANI. MAMBO MENGINE IWE NYONGEZA TU. BILA KUTAMKA SUALA LA KATIBA HAPO SASA UKAWA MAANAKE NINI?
 
Mi nashangaa hawa wapiga kampeni wa UKAWA wanaacha kupiga bull wanazunguka zunguka tu. HOJA KUBWA MUHIMU AMBAYO CCM HAWAWEZI KUIGA NI KUREJESHA KATIBA YA WANANCHI MEZANI, NA NDIYO MAANA YA UKAWA. JAMABO HILI NDIO LA KUSHUPALIA MAJUKWAANI. MAMBO MENGINE IWE NYONGEZA TU. BILA KUTAMKA SUALA LA KATIBA HAPO SASA UKAWA MAANAKE NINI?

Huu ni wakati wa mabadiliko.
Vipaumbele vya Ukawa vilishabadilika.
Wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Ukawa pale jangwani uliambiwa vipaumbele vya Ukawa ni nini. Hilo la Katiba halikuwepo ndani ya "tatu bora" za Lowassa/Ukawa.
Fuatilia mikutano ya kampeni za Lowassa utajua kuwa katiba mpya sio kipaumbele.
Badilika ndugu yangu..fuata mkondo wa mafuriko ya mabadiliko.
"Na ukibanwa sana ruka...hatusimami kuchimba dawa" ..
 
Huu ni wakati wa mabadiliko.
Vipaumbele vya Ukawa vilishabadilika.
Wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Ukawa pale jangwani uliambiwa vipaumbele vya Ukawa ni nini. Hilo la Katiba halikuwepo ndani ya "tatu bora" za Lowassa/Ukawa.
Fuatilia mikutano ya kampeni za Lowassa utajua kuwa katiba mpya sio kipaumbele.
Badilika ndugu yangu..fuata mkondo wa mafuriko ya mabadiliko.
"Na ukibanwa sana ruka...hatusimami kuchimba dawa" ..

Ukawa ni kifupi cha Umoja wa Katiba ya wananchi na ilianzia Bunge Maalum la Katiba
Sasa wasipogusia katiba kuna maana gani? Ulaghai mtupu.
 
Ukawa ni kifupi cha Umoja wa Katiba ya wananchi na ilianzia Bunge Maalum la Katiba
Sasa wasipogusia katiba kuna maana gani? Ulaghai mtupu.

Ndo hivyo ndugu yangu..tunataka mabadiliko...ukawa imeshabadili vipaumbele.
Ni mbele kwa mbele
 
kufuatia mtirikio wa siasa za tanzania na uwepo wa lowasa lowasa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi katiba ya warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na wanasheria waserekali
kufanya hivyo ndo kutamuingiza lowasa ikulu ila kwa kunadi kuondowa umasikini kunadi elimu buer atapigwa bao na magufuli
Lowasa ili ushinde ajenda ni moja ili kukomesha ufisadi na rushwa lazima katiba ya warioba irudi ukitammka neno hili moja tu shukwa jukwaani umemaliza kazi

Anakomesha vipi ufisadi ikiwa ye ndo kiongozi fisadi mkubwa.... Matope tu
 
Ndo hivyo ndugu yangu..tunataka mabadiliko...ukawa imeshabadili vipaumbele.
Ni mbele kwa mbele

Unataka kubadilisha nini? Unajua mnaongea vitu alafu mnashindwa kuijengea hoja. Mabadiliko gani mnayataka na kikosi kipi?
 
Unataka kubadilisha nini? Unajua mnaongea vitu alafu mnashindwa kuijengea hoja. Mabadiliko gani mnayataka na kikosi kipi?

Susuviri,
Umeuliza swali la msingi sana.
Hilo ni swali ambalo hata Makene, Crashwise na Nicholas hawalijibu.
Jibu la msingi ni kuwa tunataka mabadiliko basi.
Duku duku lako sio lako peke yako. Ni la wengi sana lakini ikiuliza au kuomba ufafanuzi hueleweshwi kwa hoja.
Kwa hiyo dukuduku zote zitatuliwa Oct 25.
 
kufuatia mtirikio wa siasa za tanzania na uwepo wa lowasa lowasa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi katiba ya warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na wanasheria waserekali
kufanya hivyo ndo kutamuingiza lowasa ikulu ila kwa kunadi kuondowa umasikini kunadi elimu buer atapigwa bao na magufuli
Lowasa ili ushinde ajenda ni moja ili kukomesha ufisadi na rushwa lazima katiba ya warioba irudi ukitammka neno hili moja tu shukwa jukwaani umemaliza kazi

Umeandika ya maana sana, na natumaini MBOWE na wenzake wanapitia hili jukwaa. Ni muhimu sana wakasistiza KATIBA kwani mambo mengine ni yaleyale tu ambayo kila mwanasiasa anasema - mambo ya elimu na kufufua viwanda pamoja na kupambana na rushwa ni hoja ya kila chama. CCM wameharibu sana kwenye mchakato wa katiba mpya. Mwenyekiti wao aliwachagua akina Warioba wakaenda kukusanya maoni kisha huyohuyo aliyewachagua (kwa jina anaitwa JK) kaanza kuwakashfu na CCM ikamiliki mchakato na kufanya madudu ya mwaka kwa mabilioni ya pesa ya walipa kodi. Kama kuna kitu kibaya nitakachomkumbuka nacho JK ni kuharibu kwa makusudi mchakato wa katiba mpya. Kwenye ilani ya CCM sijaona wakiahidi katiba mpya na hapo ndipo UKAWA wanapoweza kusimama mbele na kunadi kuwa maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya yatazingatiwa wakiingia ikulu. CCM nawachukia sana sababu ya ujinga waliofanya kwenye mchakato wa katiba pamoja na kwamba wameharibu nchi mpaka viinchi vidogo kama Burundi vinatucheka! Ni uendawazimu pekee unaoweza kumfanya mtu aipende CCM.
 
UKAWA wamechanganyikiwa hivi sasa,hawajui wafanye nini,tangu Lowassa ateuliwe kuwa mgombea urais theme imebadilika kabisa,kiukweli hasa UKAWA walitakiwa kwenda ktk kampeni na hoja ya Katiba ya Wananchi,hapa wangempiga bao magufuli,hoja anazozitumia Lowassa ndio hizo hizo anazozitumia Magufuli tena akienda mbali zaidi kwa kusema uwezo wa kuyafanya hayo upo kwasababu pesa zipo,atakachokifanya ni kuziba mianya ya ufisadi tu basi,neno ufisadi limekuwa msamiati mgumu sana mdomoni mwa Lowassa,kila mtu anafahamu kwamba mambo mengi hayafanikiwi ktk nchi hii kwasababu ya ufisadi.Basi angalau Lowassa angebeba ajenda ya Katiba ya Wananchi,nayo hataki kuzungumzia ktk kampeni zake,nani asiyejua namna Watanzanua walivyo wasahaulifu?wasipokumbukushwa watasahau watamchagua Magufuli kwasababu ktk kampeni zake anapenda kuongea lugha ya wananchi wa kawaida,'UFISADI'.'KATIBA YA WANANCHI' ndio lugha ya kwanza mashuhuri ipendwayo na wananchi lkn Lowassa hataki kuitumia.
 
kufuatia mtirikio wa siasa za tanzania na uwepo wa lowasa lowasa ili ashinde uchaguzi lazima aseme ili kukomesha ufisadi katiba ya warioba ataiweka mezani ikiwa na wajimbe walio sawa wa vyama vya siasa na wajumbe wa taasisi walio jichaguwa wenyewe na wanasheria wa kujitengemea walio sawa na wanasheria waserekali
kufanya hivyo ndo kutamuingiza lowasa ikulu ila kwa kunadi kuondowa umasikini kunadi elimu buer atapigwa bao na magufuli
lowasa ili ushinde ajenda ni moja ili kukomesha ufisadi na rushwa lazima katiba ya warioba irudi ukitammka neno hili moja tu shukwa jukwaani umemaliza kazi

Nadani huna kumbukumbu nzuri

wakati wa uzinduzi wa kampeni pale jangwani Babu Duni alisema moja ya vipaumbele vitakavyoshughlkiwa mpema zaidi ni katiba ya wnanchi pamoja na kuunda tume ya mardhiano ya kitaifa
 
Nadani huna kumbukumbu nzuri

wakati wa uzinduzi wa kampeni pale jangwani Babu Duni alisema moja ya vipaumbele vitakavyoshughlkiwa mpema zaidi ni katiba ya wnanchi pamoja na kuunda tume ya mardhiano ya kitaifa
ndiyo lakini inatakiwa inadiwe kila siku, watanzania wote tusikie
 
UKAWA wamechanganyikiwa hivi sasa,hawajui wafanye nini,tangu Lowassa ateuliwe kuwa mgombea urais theme imebadilika kabisa,kiukweli hasa UKAWA walitakiwa kwenda ktk kampeni na hoja ya Katiba ya Wananchi,hapa wangempiga bao magufuli,hoja anazozitumia Lowassa ndio hizo hizo anazozitumia Magufuli tena akienda mbali zaidi kwa kusema uwezo wa kuyafanya hayo upo kwasababu pesa zipo,atakachokifanya ni kuziba mianya ya ufisadi tu basi,neno ufisadi limekuwa msamiati mgumu sana mdomoni mwa Lowassa,kila mtu anafahamu kwamba mambo mengi hayafanikiwi ktk nchi hii kwasababu ya ufisadi.Basi angalau Lowassa angebeba ajenda ya Katiba ya Wananchi,nayo hataki kuzungumzia ktk kampeni zake,nani asiyejua namna Watanzanua walivyo wasahaulifu?wasipokumbukushwa watasahau watamchagua Magufuli kwasababu ktk kampeni zake anapenda kuongea lugha ya wananchi wa kawaida,'UFISADI'.'KATIBA YA WANANCHI' ndio lugha ya kwanza mashuhuri ipendwayo na wananchi lkn Lowassa hataki kuitumia.

Kwa kweli,
Kuna mambo yanashangaza. Ila sitaki kuamini kuwa Mbowe na Timu yake wamekwepa hili la katiba mpya kwa bahati mbaya.
Nadhani wamedhamiria.
Tangu pale jangwani.
Kisha hotuba ya Lowassa ITV ile usiku.
Mikutano yote mikubwa katiba inatwaja kishkaji sana.
Sidhani kama katiba mpya ni kipaumbele au inaumuhimu ambao Chadema waliuaminisha umma kuwa inao.
Wamejipanga kupiga kazi na katiba hii hii ya leo.
 
Kwa kweli,
Kuna mambo yanashangaza. Ila sitaki kuamini kuwa Mbowe na Timu yake wamekwepa hili la katiba mpya kwa bahati mbaya.
Nadhani wamedhamiria.
Tangu pale jangwani.
Kisha hotuba ya Lowassa ITV ile usiku.
Mikutano yote mikubwa katiba inatwaja kishkaji sana.
Sidhani kama katiba mpya ni kipaumbele au inaumuhimu ambao Chadema waliuaminisha umma kuwa inao.
Wamejipanga kupiga kazi na katiba hii hii ya leo.
They are counting the eggs before they are hatched.It will be a grave mustake for them!
 
Back
Top Bottom