eliudy josephy naamany
Member
- Sep 1, 2016
- 27
- 4
Iv jaman tusaidiane kama kuna walimu walio dahili diploma je wameshapata muafaka wa vyuo hivyo na wsnaenda lini kuriport mm cielewi nimechaguliwa ad nakata tamaa maana hata chuo wanakwambia hawajui siku ya kufungua hii secta imekuwa magumash sana profeesion haieleweki sasa iv division three jaman nishaurini ualimu na phamace kipi kinalipa hapo