Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Habari ndugu wana jamii..
Kuna viwanja vinatangazwa sana Huko kigambini Mwasonga.. Kama unaelekea Dar Zoo
Bei wanasema ni 2500/ = kwa sqm..
Yaan 20*30 ambayo ni 600sqm wanauza kwa 1.5milion
Sasa naombeni wanojua vizuri hayo maeneo watuambie maana niemeenda jana niviona ila sijui ramani ya jiji inasemaje hasa Manispaa ya Kigambon.. Nimetembelea halmashari ya kigambon jana kuulizia naona hawatoi ushirikiano naomba anayejua vizuri hayo Maeneo atwambie tusije ingia chaka maana kigambon kuna miradi mikubwa ya serikali ila hatujui mipango miji imekaaje.
Kuna viwanja vinatangazwa sana Huko kigambini Mwasonga.. Kama unaelekea Dar Zoo
Bei wanasema ni 2500/ = kwa sqm..
Yaan 20*30 ambayo ni 600sqm wanauza kwa 1.5milion
Sasa naombeni wanojua vizuri hayo maeneo watuambie maana niemeenda jana niviona ila sijui ramani ya jiji inasemaje hasa Manispaa ya Kigambon.. Nimetembelea halmashari ya kigambon jana kuulizia naona hawatoi ushirikiano naomba anayejua vizuri hayo Maeneo atwambie tusije ingia chaka maana kigambon kuna miradi mikubwa ya serikali ila hatujui mipango miji imekaaje.