Kama kuna mtu yeyote ambaye ametumia simu za startimes solar 5 naomba anipatie maelezo kidogo kuhusu ubora wake. Nimeziona zinauzwa vodacom shop Mlimani city kwa 270,000
kiukweli ni simu mzuri,inapiga mzigo vizuri,ila natumia startimes p40,hiki kisimu kidogo,lakini hodari,PDF file zinafunguka bila shida,naamini hiyo kubwa itakua zaid
Nimesikia StarTimes wanauza Solar za mikopo zenye taa nne na TV ya 24" wanauza kwa malipo ya awali ya 125,000/= ,Nani aliyewahi kununua hizo nataka nimfungie Shamba Boy kiwangwa naye aselebuke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.