Kuhusu rushwa polisi

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,487
Reaction score
65,822
Salam

Kume kuwa na malalamiko mengi kuhusu rushwa kwa polisi kwamba wanaomba rushwa sana kuliko kawaida

Mimi nataka kuwa ambia sababu za moja kuu inayo wapelekea wao waombe rushwa

Nuture ya kazi yao inawakutanisha na client wao kwa kiasi kukubwa na ukitaka kujua hilo angalia taasisi za serikali zote ambazo zina kutana na wateja wao direct huone kama hawatengenezi mazingira ya rushwa

Mfano wakati nafika dsm kwa mara ya kwaza nilipata kazi kupitia jf hii ikataka nipeleke barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji wa mtaa wangu nilipo fika pale mimi najuaga barua ya utambulisho bure

Nilipo fika pale akaniambia toa kopi nikatoa nilipo ludi akajaza akasema pesa ya muhuri nikamuuliza muhuri upi uho tena akasema ni lazima utoe 5000 ndio upate barua nikagoma nikasema ngoja nimpigie mtu anipe maelekezo akasema chukua hiyo hapo

Nini nachotaka kusema ni kuwa rushwa hipo sana na sio hao polisi peke yao wanao kula rushwa njoo TRA, NSSF,SERIKALIZAMITAA, HOSPITAL, na fika BANK maafisa mikopo

Huwezi kukuta mwanajeshi wa JWTZ anaomba rushwa na sababu ya wao kuwa na mishaara mizuri ni kuwa wanaingiza pesa ndefu sana serikalini kuliko wizara yoyote wale wanajeshi mnao waona nje ya nchi ni moja ya mapato ya serikali
 
Tatizo njaa plus ujinga.

Pia hatuna teknolojia inayofanya mambo yawe wazi. Polisi hawavai body cams, hiyo ingelazimisha polisi wawe alert wanayofanya wakati wa saa za kazi yanaonekana.

Hiyo ndiyo jibu kama tunataka kuzuia rushwa au ujinga ujinga mwingine wa polisi wanapokuwa kwenye majukumu yao.
 
Duh, mzee baba!
 
Wanajeshi awakutani na mazingira ya kula rushwa.
 
Fata utaratibu tii sheria kama pesa yako inakuuma
 
I was remember nilienda kituo kimoja cha polisi nilimkuta baba sawa na baba yangu anabinywa vidole aseme ukweli ase nilumia nikabi niingilie niwaambie ty ukweli
 
Traffic asipokula rushwa Hakuna gari itatembea barabarani, 87% za gari usionazo barabarani ni chuma chakavu zilizoboreshwa yaani Hakuna gari. Nyingi ya gari nchini zimepitia zaidi ya wamiliki watatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…