Kuhusu Robotics & microcontroller programming

Kuhusu Robotics & microcontroller programming

tunu ngajilo

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
9
Reaction score
0
So ni mda mlefu nimekuwa nikicheki wabongo ambao wanajishugulisha na robotics na microcontroller programming kama mpo.

Fresh tushtuane.
 
so n mda mlefu nimekuwa nikicheki wabongo ambao wanajishugulisha na robotics na microcontroller programming kama mpo.fresh tushtuane

Tushtuane vp sasa? Lazima iwe wabongo tu? Lete vitu bana watu tuchangie....!!!
Achana na habari za akina Koku na Bishanga!!
 
so n mda mlefu nimekuwa nikicheki wabongo ambao wanajishugulisha na robotics na microcontroller programming kama mpo.fresh tushtuane
Mkuu mi na-deal na PIC microcontrollers kama hobby kwa projects mbalimbali.
 
Mkuu mi na-deal na PIC microcontrollers kama hobby kwa projects mbalimbali.

yan mimi ndo nilikuwa natafuta sana iyo kitu kwa mtu anayewezea sana, kwan nmetengeneza musik system na nilipanga niunde wa digital, sasa nkakwama hapo kwa micro controler, jins ya kuziburn na aina ya microcontroller.
 
yan mimi ndo nilikuwa natafuta sana iyo kitu kwa mtu anayewezea sana, kwan nmetengeneza musik system na nilipanga niunde wa digital, sasa nkakwama hapo kwa micro controler, jins ya kuziburn na aina ya microcontroller.

Mi siwezei sana hiyo kitu maana siyo profession yangu ni hobby na sijaisomea,ila nafanya kwa kiasi changu.
Je unataka control ya hiyo music system yako iwe digital kwa level ipi?


  • Digital Volume control pekee?
  • Digital signal processing and control kwa ujumla?

Unataka kutumia microcontroller ya family gani? Unataka iwe na user control interfaces zipi? Unataka iwe na control display au la?
Na kama ni ndiyo,unataka aina ipi?

Una background ya programming language ipi? Maana hapa ndo kwenye muziki, upande wa coding.

NB: Kama tatizo lako ni hilo la kwenye RED hapo juu pekee, hayo niliyoorodhesha chini yake si tatizo kwako,then ni rahisi tu kukamilisha project yako. Maana kilichobaki ni kutafuta microcontroller na programmer yake tu.

Na kwa upande wa microcontroller inabidi uchague kwanza family unayotaka kutumia, andika source code, una-debug, una-compile halafu una-simulate.

Ukiona ina-run vizuri, angalia object code uliyopata baada ya compilation, ina size gani ndo uchague microcontroller kwenye family ile ile yenye ROM inayoweza ku-hold hiyo object code uliyoipata.
 
alpha1,

Nataka digital signal and control kwa ujumla. Pia ninayo 8051 mcu ila nilipenda 8052 family.
 
Last edited by a moderator:
yan hata sijafanya coding kwasababu bado sijajua kuweka code

Mkuu,una ufahamu wa programming language ipi? Kuna maswali mengi ambayo hukujibu kwenye post #5 Anyway, unaweza kutoa outline ya plan yako jinsi unavyotaka kitu kiwe(kama unaweza kuandika pseudocode ni vizuri zaidi).
 
nataka digital signal and control kwa ujumla. Pia ninayo 8051 mcu ila nilipenda 8052 family

Nasikitika umechagua option ngumu sana,maana Digital signal processing and control inahusisha mambo mengi. Kwa upande wa signal processing

inabidi ubadili analog signal kwenye stage ya input ziwe digital kwa kutumia ADC ndo ufanye digital processing stages zingine na control, display halafu baadaye utumie DAC kubadili digital signal ziwe analog kwa ajili ya power amplification ili kupata signal zenye nguvu ku-drive spika.

Ni kazi ngumu sana kwa Embedded Systems newbie, maana coding yake itakuwa complex na itahusisha devices nyingi sana.

Unafuu uko kwenye Analog Signal -Digital Control, maana hapo unatumia digital system ku-control level ya analog signal zinazoenda kwenye power amplifier. Lakini bado itakuwa ngumu iwapo utaweka complex digital control system.
 
Nasikitika umechagua option ngumu sana,maana Digital signal processing and control inahusisha mambo mengi.

Kwa upande wa signal processing inabidi ubadili analog signal kwenye stage ya input ziwe digital kwa kutumia ADC ndo ufanye digital processing stages zingine na control, display halafu baadaye utumie DAC kubadili digital signal ziwe analog kwa ajili ya power amplification ili kupata signal zenye nguvu ku-drive spika. Ni kazi ngumu sana kwa Embedded Systems newbie,

maana coding yake itakuwa complex na itahusisha devices nyingi sana.

Unafuu uko kwenye Analog Signal Digital Control, maana hapo unatumia digital system ku-control analog signal zinazoenda kwenye power amplifier. Lakini bado itakuwa ngumu iwapo utaweka complex digital control system.

Mkuu , hapo nmekuelewa, ila mimi nilijua ni simple sana, na nikatumia Pt2313 kubadilisha analogy signal to digital . Kwaiyo ikawa bado mcu peke yake, ila kwa ulivosema itabd nifanye ivo.
 
mkuu , hapo nmekuelewa, ila mimi nilijua ni simple sana, na nikatumia Pt2313 kubadilisha analogy signal to digital . Kwaiyo ikawa bado mcu peke yake, ila kwa ulivosema itabd nifanye ivo

Kama ni hivyo angalau, ingawaje bado kuna kazi ngumu ya kuzifanya MCU na PT2313 ziwasiliane kwa kutumia I2C communication protocol,maana PT2313 inaweza kuwasiliana kwa kutumia I2C communication protocol pekee, njia ambayo inatumika kwenye vifaa vingi kama TV, VCR etc,kwa kutumia waya(line) mbili tu, yaani SDA na SCL.

Kuunganisha microcontroller (MCU) na PT2313 si kazi kubwa,kazi kubwa inakuja kwenye coding,maana hapo inabidi ufahamu hardware architecture ya microcontroller (master device) na PT2313(Slave device) jinsi zinavyofanya kazi na kuwasiliana, ndipo uandike instructions(program) ya kuendesha hizo devices zifanye kazi unayotaka wewe.
Najua utahitaji na display japo hukuitaja, ingawaje sijajua utatumia LCD au GLCD au ...........

Ukibahatisha kukuta preprogrammed MCU inayofanya kazi unayotaka ambayo haina code protection (fuse ya code protection iko DISABLED), uka-copy firmware yake, hapo mambo yatakuwa rahisi, maana utaitumia hiyo firmware ku-program MCU nyingi maisha yako yote bila kuumiza kichwa kwa kuandika code. Labda kwa waliobobea zaidi katika fani hii watusaidie kwa PT2313.

Kwani unataka hiyo system yako iwe na controls buttons zipi?
 
alpha1

Mkuu mimi sio mzima sana ktk kujua aina za buton, lakin ngoja nijaribu kutafuta mcu ambayo haijawekewa fuse cod.
 
Last edited by a moderator:
mkuu mimi sio mzima sana ktk kujua aina za buton, lakin ngoja nijaribu kutafuta mcu ambayo haijawekewa fuse cod

Mkuu alafu nipo kimya sana coz nipo clas, kwaiyo muda mwingi sipo internet. Kwaiyo kama unaweza nitext kwa 075568056*.
 
mkuu mimi sio mzima sana ktk kujua aina za buton, lakin ngoja nijaribu kutafuta mcu ambayo haijawekewa fuse cod

Namaanisha system iwe na VOL+ na VOL- tu au zaidi ya hizo? Kama ni zaidi zitaje
 
Namaanisha system iwe na VOL+ na VOL- tu au zaidi ya hizo? Kama ni zaidi zitaje

vol+, vol-, next, preveous, repeat, stop.play, mute, treble na bass, na function ambayo itakuwa ya kuchange kwenda input, radio na usb
 
vol+, vol-, next, preveous, repeat, stop.play, mute, treble na bass, na function ambayo itakuwa ya kuchange kwenda input, radio na usb

System yako ina control buttons nyingi,ila zilizoko kwenye RED hapo juu hazina umuhimu sana maana hutahitaji kuunda media player device ila unanunua ready-made ambayo inakuwa na hizo buttons zote za kwenye RED na una-embed ndani ya system yako.

Pia inawezekana kuunda MP3 player lakini coding ya hayo mambo yote ni muziki mnene, na itachukua muda mrefu sana ku-code.

Control buttons zilizobaki inawezekana kuweka, ila inaweza chukua muda mrefu kuandika program kuanzia algorythm,source code,debugging hadi compilation ili kupata firmware ya kuchoma kwenye MCU, kuandaa components pia PCB fabrication.
 
alpha1,

Mkuu ndo maana mie nilichukua sub woofer ya mchina ambayo ipo coded then nkaikata ile pcb yake, afu nkaijaribu kuweka ktk pcb yangu. Na ilikubal , sasa nkajua kuunda yangu itakuwa rahis kumbe ni very complex ivo, ntajifunza iyo ya analogy.
 
Last edited by a moderator:
mkuu ndo maana mie nilichukua sub woofer ya mchina ambayo ipo coded then nkaikata ile pcb yake, afu nkaijaribu kuweka ktk pcb yangu. Na ilikubal , sasa nkajua kuunda yangu itakuwa rahis kumbe ni very complex ivo, ntajifunza iyo ya analogy.

Mkuu,kwa ujumla ni kazi ngumu sana. Microcontroller unayoiona ndani ya control circuit ya Mchina kwenye hiyo subwoofer yako, ndani yake kuna firmware ambayo iko kwenye mfumo wa hexadecimal ambayo ilipatikana baada ya Mchina kuandika program ya ku-control hiyo subwooer na baadaye ku-compile kwenda kwenye machine language.

Mfano wake hapo chini, ambayo ni firmware ya kuhesabu (counter) ambayo niliandika C sourcecode yake kwa ajili ya kuhesabu idadi ya mizunguko ya coil ya inductor yeyote wakati wa kusuka eg. transformer na kuonyesha kwenye Seven Segment LED Displays nne na ina uwezo wa kuhesabu hadi 9999:

:02000000922943
:10000800FF00030E8301AC000A08AB008A017008E8
:10001800A0002608003A031D192885012808860033
:10002800013085000130A6003B282608013A031D4F
:100038002528850129088600023085000230A6009F
:100048003B282608023A031D312885012A08860024
:10005800043085000330A6003B282608033A031D18
:100068003B2885012708860008308500A601810104
:1000780020308B002008F0002B088A002C0E83000B
:06008800FF0E7F0E0900CF
:0E008E008312031322088A0021088200080052
:10009C00023083120313FC004930FD00FD0B542881
:0A00AC00FC0B5428000000000800BF
:1000B600710DF80DF90D7408F8027508031C750F1B
:1000C600F902F00DF10D0F30FC00710DF80DF90D70
:1000D6007408701C7428F8027508031C750FF90261
:1000E6007928F80775080318750FF907F00DF10D53
:1000F600FC0B6828701885287408F807750803181B
:08010600750FF9070000080065
:10010E00831203137408003A031D96287508003AEB
:10011E00031D9628FF30F0007F30F100EF28831288
:10012E000313FD01F901F80171087004031900347D
:10013E0071087506FA00FA1BFD09FB01F51FAC28C4
:10014E00F409F509F40A0319F50AF11FB328F009A9
:10015E00F109F00A0319F10A71087504FA00FA1B85
:10016E00C8285B207B18DB28FD1F0034F009F1093D
:10017E00F00A0319F10AF809F909F80A0319F90A3C
:10018E000034F51FD728F11BD3287108F900700829
:10019E00F800F101F001BB28F101F001F00A003482
:1001AE00F109F009FB0AB828F80A0319F90A7408CC
:1001BE007802031DBB2875087902031DBB28F901BF
:1001CE00F801F00A0319F10AF11FBB280000FF34F1
:0201DE00080017
:1001E00083120313F8010830FC00700DF80D740839
:1001F000F8020318FD28F8070310F00DFC0BF52892
:020200000800F4
:1002020083120313B2012E08F1000130F0007108CD
:1002120003190F29F00D7010FF3E09297008B10073
:100222002D08840070080005F10071080130031DDB
:100232000030F0003008F006031937292F08003C7F
:10024200031827294E204E20AF031F292D088400B2
:1002520031080005F10071080130031D0030F00083
:100262003008F00603193729FF30B2003208F000D7
:02027200080082
:100274005B29C03083120313F0008529F930F000A4
:100284008529A430F0008529B030F0008529993003
:10029400F00085299230F00085298230F00085290C
:1002A400F830F00085298030F00085299030F00086
:1002B4008529831203132D08003A03193B292D08BD
:1002C400013A031940292D08023A031943292D083C
:1002D400033A031946292D08043A031949292D081C
:1002E400053A03194C292D08063A03194F292D08FC
:1002F400073A031952292D08083A031955292D08DC
:08030400093A03195829080009
:10030C0047208A110A128000840AA10A0319A20A42
:08031C00F003031D862908000F
:10032400813083160313810083128101A0308B0076
:100334008501103083168500831286018316860199
:1003440005308312AD000430AE000130AF00B001BF
:10035400012170080319142AA30A0319A40A0A30F4
:10036400F4000030F5002308F0002408F100872091
:100374007808F0007908F1007008A5007008AD0055
:100384003A21831203137008A8000A30F4000030E5
:10039400F5002308F0002408F10087200A30F40057
:1003A400F0207808F0007008A5007008AD003A212C
:1003B400831203137008A9006430F4000030F500C0
:1003C4002308F0002408F10087200A30F400F0200C
:1003D4007808F0007008A5007008AD003A21831277
:1003E40003137008AA00E830F4000330F500230872
:1003F400F0002408F10087200A30F400F020780887
:10040400F0007008A5007008AD003A2183120313B0
:100414007008A7003A30FC002330FD00FD0B102AC1
:08042400FC0B102AA229152A85
:02400E006A2125
:00000001FF

Sasa kama hiyo MCU ya Mchina haina code protection, unaweza ku-copy hiyo firmware yake ukaitunza sehemu na kuchoma kwenye MCU zingine namba kama hiyo iliyomo kwenye subwoofer yako.

Ila mara nyingi wakati wa kuchoma firmware kwenye MCU, huwa wanaweka code protection kuzuia wengine ku-copy kazi yao.
 
Mkuu, hizo code zote ni kwa ajil ya lcd yenye 7segment kwa ajil ya kucount winding ktk transfomer? Du kweli apo mziki. Bora redio yangu nkaweka iwe analogy peke yake.
 
Back
Top Bottom