ulifanya transfer lin? mi nadhani huo mkopo utakuwa umepata kupitia chuo ambacho ulipangiwa mwanzo kwani inawezekana jina lako halijafika bodi kama umehama au umefanya transfer ya chuo.ila cha kufanya wasiliana na chuo ulichohamia ili ufahamu kam jina lako la kubadili chuo limefika tcu na heslb?