Naombeni anayeweza kunisaidia afanye ivo, Mimi ni mjasiriali kwa kweli angalau matokeo nayaona , lakin sasa natamani nichukue mkopo ili niweze kujitanua zaidi .
. biashara ina documents zote, tin, leseni , brela , tax cleaarence na parmanent office , pia nina nyumba ipo hatua ya finishing , inapigwa plasta saiv japo bajet ipo hadi ya wiring , skimming na celling , kwa miezi sita iliyopita nimefanya miamala ya kama mil 45 , , , nataka nichukue mkopo wa mil 30 je naweza kupata !?? [Nyumba thaman ya kama mil 22 had saiv ] .
.
Asanteni
. biashara ina documents zote, tin, leseni , brela , tax cleaarence na parmanent office , pia nina nyumba ipo hatua ya finishing , inapigwa plasta saiv japo bajet ipo hadi ya wiring , skimming na celling , kwa miezi sita iliyopita nimefanya miamala ya kama mil 45 , , , nataka nichukue mkopo wa mil 30 je naweza kupata !?? [Nyumba thaman ya kama mil 22 had saiv ] .
.
Asanteni