Kuhusu kusoma degree zaidi ya moja.

Kuhusu kusoma degree zaidi ya moja.

kalumuna

Member
Joined
May 18, 2011
Posts
62
Reaction score
4
Habari zenu wanajukwaa, Nawapongeza kwa ushauri chanya ambao mmekuwa mkitoa katika jukwaa hili.Nilitaka kujua kama kwa mfumo wa elimu yetu Tanzania unaruhusu mtu kusoma bachelor degree zaidi ya moja, kwa muda sawa (simultaneously). Mfano uko chuo fulani unaendelea na masomo na kujisali kusoma course nyingine ambayo inaweza kuwa inatolewa open University.Nawasilisha
 
Haiwezekani as wanaohodhi ni TCU. Labda usome chuo kingine nje ya Tz
 
kwani hata kama ni nje kea mfano oxfrd unaweza kusoma hapo wakati huo unasoma makerere....mm cjawahi sikikia
 
Habari zenu wanajukwaa, Nawapongeza kwa ushauri chanya ambao mmekuwa mkitoa katika jukwaa hili.Nilitaka kujua kama kwa mfumo wa elimu yetu Tanzania unaruhusu mtu kusoma bachelor degree zaidi ya moja, kwa muda sawa (simultaneously). Mfano uko chuo fulani unaendelea na masomo na kujisali kusoma course nyingine ambayo inaweza kuwa inatolewa open University.Nawasilisha
zamani ilikuwa inawezekana kusoma sasa na huu utaratibu wa tcu inaweza kuwa ngumu, ila nenda open university kama wanadahili bado omba kusoma hapo pia.
 
zamani ilikuwa inawezekana kusoma sasa na huu utaratibu wa tcu inaweza kuwa ngumu, ila nenda open university kama wanadahili bado omba kusoma hapo pia.
Asanteni, nimepata mwanga kidogo na pa kuanzia.
 
Soma hapa bongo huku ukisoma online vyuo vya nje kwa wakati mmoja.
 
Vile unaweza fanya labda kama unachukua degree uchukue na short courses zingine ila 2 full degrees hakunaga
 
Back
Top Bottom