Tume wameshalifafanua hili mara nyingi tu.....kwamba BVR zimetumika kwenye uandikishaji pekee na taratibu nyingine za kupiga kura ni kama ilivyokuwa 2010.....Utamchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo chako cha kuandikisha kura tu !
Utamchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo chako ulichojiandikisha tu.....ila kama uliweza kuhamisha taarifa zako wakati, basi utaweza kufanya hivyo kwenye kituo ambacho taarifa zako zilihamishiwa.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.