Nadhani watakuwa wamtoa guidebook inayoelezeah uchaguz wao ukojekwel yan hadi diploma ubabaishaj tu
kama anakumbuka pasword mbna simpo sana aseee tumia index number ya form ku log inSamahani kwa kuingiza hili kwenye thread hii ' samahani naweza pata msaada wa maelekezo namna ya kui recover account ya nacte maana mdogo wangu amesahau account yake ila anakumbuka password" aksante
Ww muongo rekebisha maelezo amesahau account but anakumbuka pasward ndo nini? Hapo cha kusaidiwa ni nini coz anakumbuka pasward alog in atapata account yake au kasahau index no na si rahisi kusahau index no labda kama alifanyiwa paperSamahani kwa kuingiza hili kwenye thread hii ' samahani naweza pata msaada wa maelekezo namna ya kui recover account ya nacte maana mdogo wangu amesahau account yake ila anakumbuka password" aksante
Yaani humu jf ni shida watu wanaingiza topic juu ya topic mambo ya selection fungua account yako utaona kila kitu second inatoka kimya kimyaKwan selection za sec round tayari?
Nimeuliza kwa kutaka kujua Tu... Angalia post ya " shebbydo" hapo juu... Na usdhan kila anaye changia humu Anahusika na hzo diploma, mm nko kazin mkuu, Kama hujui uwe unanyamaza na ujaribu kuwa na busara katk maneno yakoYaani humu jf ni shida watu wanaingiza topic juu ya topic mambo ya selection fungua account yako utaona kila kitu second inatoka kimya kimya
ni kwel me dogo an 4 29 kachaguliwa nursing tukuyuumjomba nna div 1 ya point 14 lkn had sa HV cjachaguliwa ndo mana nimeamua kuuliza coz mweny div 3 anachukuliwa ila mm bado#gachacha