Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Yawezekana huo ndio utaratibu mpya kwa siku hizi au wa mahakama husika.hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa mahakama ila njia rahisi nenda kwa wakili na pesa yakokononi na copy zako kwake original sio lazima saaana ubebe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama kuna mtu ana certify cheti bila kuona original huyo hana maadili ya kazi na hafai.hapana mkuu umekosea kidogo kwa sasa mahakamani hawakubali kama ulivyosema bali ni ivi ukija mahakamani unamwona RO yaani karani mkuu ataangalia na kukupa bei ya kulipia atakupa pay slip ya mahakama uende benk kulipia then utarudisha ili upate risiti ya selikali na hakimu hapo atagonga muhuri wa mahakama ila njia rahisi nenda kwa wakili na pesa yakokononi na copy zako kwake original sio lazima saaana ubebe
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi mkuu vyeti vya Olevel,Alevel na chuo vinakaa kwenye acaademic qualification alafu hizo transcript,birth certificates na vengine vinakaa kwenye other attachementsNapata ukakasi, nilidhani vyeti vya olevel na alevel vinakaa kwenye academic qualification halafu transcripts ndio inakaa kwenye other attachements
mm living ya 4m4 ilikosewa tare ya kuzaliwa tu nikaenda kuapa walitaka 10,000 nikawachimba biti mm ni police wakanifanyia bureJaziajazia basi.
Mimi nimewahi kufanyiwa zoezi hili miaka ya nyuma kama mara tatu hivi.
Siku ya kwanza nilipeleka vyeti nikafanyiwa free incharge, siku ya pili nilipeleka vyeti tena nikaombwa buku 2 na karani tena alinifuata huku naondoka nikampa.
Siku ya tatu nilipeleka leseni ya biashara nikaombwa 5 nikawapa.
Sijui siku hizi kama mzee bure yupo hai
Teh teh we jamaa ulishawahi kuwa secretary nn maan hayo majibu utazan wale ma karani wa halmashauriNazungumzia vyeti
Kama CV na yenyewe ni cheti basi akacertify
Aaaaaahhhhh. Uliwafanyia umafiamm living ya 4m4 ilikosewa tare ya kuzaliwa tu nikaenda kuapa walitaka 10,000 nikawachimba biti mm ni police wakanifanyia bure
Vipi !!!Teh teh we jamaa ulishawahi kuwa secretary nn maan hayo majibu utazan wale ma karani wa halmashauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaahamkuu umesahau na akimu atamwomba elfu 5 au kumi akisema ni ya wino
wakijifanya wamepinda ww unajisokotaAaaaaahhhhh. Uliwafanyia umafia
nimezaliwa mkoa wanaitambua pesa vizuri mkuuHahahahaaha
Upo sahihi kasoro kwenye cv. Cv hutakiwi kuattach sababu umeshajaza ndo maana kuna sehemu ya kuprint cvZe Heby UNAMPOTOSHA MWENZAKO. CHETI CHA A LEVEL, O LEVEL NA CHUO VINAKAA KWENYE ACADEMIC QUALIFICATIONS
PICHA INAKAA KWENYE WALL
CV, BIRTH CERT, TRANSCRIPT NA DOCS ZNGNE ZNAKAA KWENYE OTHER ATTACHMENTS
Hawaruhusu pia....soma matangazo yao vizurinasema kwenye hizi ajira za watendaji wa vijiji
asante mkuuHawaruhusu pia....soma matangazo yao vizuri
Upo sawasawa mkuu wengine wanakurupuka hawasomi vipengele kwa makini na mwisho wanalalamika hatujakuwa selected ukiangalia kumbe tatizo ni jazba ya kufanya mambo upesi bila umakiniUpo sahihi kasoro kwenye cv. Cv hutakiwi kuattach sababu umeshajaza ndo maana kuna sehemu ya kuprint cv
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda na transcript kwenye interview huingii.kama vyeti havijatoka unaweza tumia transcript kuomba kazi
Mimi nimeweka hapo hapo kwenye qualifications na nimeshaomba kazi nikaitwa kwenye interview japo sikwenda.Napata ukakasi, nilidhani vyeti vya olevel na alevel vinakaa kwenye academic qualification halafu transcripts ndio inakaa kwenye other attachements
Nimecheka kweli kweliduh!!!sio kwa onyo hilo
duh!!!sio kwa onyo hilo