Mimi nasikia tu kuwa Zanzibar Kuna kazi nyingi za ulinzi, kampuni nyingi nimewatafuta ila vigezo vyao wanataka mtu alopitia mafunzo ya mgambo au jkt.
Sasa ikiwa Kuna mtu yoyote anaijua kampuni yoyote inayochukua watu ambao hawajapitia hayo mafunzo aniambie maana Hali ni mbaya.
Wengine hatujapitia mafunzo ila tuko vizuri sana...
Pia wengine wanasema Huwa Kuna kazi nyingi za part time kule bandarini za kulipwa kwa siku nimechunguza sana ila sijapata...bkama Kuna mtu humu ana connection ya hizo kazi anitonye basi.... Takulipa nikipata malipo ila kama unataka malipo ya kabla basi sahau
Ni hayo tu wadau
Sasa ikiwa Kuna mtu yoyote anaijua kampuni yoyote inayochukua watu ambao hawajapitia hayo mafunzo aniambie maana Hali ni mbaya.
Wengine hatujapitia mafunzo ila tuko vizuri sana...
Pia wengine wanasema Huwa Kuna kazi nyingi za part time kule bandarini za kulipwa kwa siku nimechunguza sana ila sijapata...bkama Kuna mtu humu ana connection ya hizo kazi anitonye basi.... Takulipa nikipata malipo ila kama unataka malipo ya kabla basi sahau
Ni hayo tu wadau