Kuhusu heslb, mikopo kwa wanafunzi.

Kuhusu heslb, mikopo kwa wanafunzi.

January B

Member
Joined
Oct 2, 2015
Posts
11
Reaction score
1
Wakuu ningependa kufaham kuhusu heslb, ni lini watatoa majina ya wataopewa mkopo, na ni wapi naweza kuyapata,
msaada tafadhali.
 
Siku ya kutoa majina haijulikani na utayapata hapa Higher Education Students' Loans Board -HESLB

Vitu vya kujiuliza ni hivi hapa

Umechagua course ambayo ni priority au non priority?

Umesoma private school O Level au Advance?

Umechagua course za afya au ualimu?



Umefiwa na mzazi mmoja au wote?

Hizi ni baadhi ya factors zinazodetermine asilimia ya mkopo utakaopewa
 
Uko sahihi mkuu afu hawatoi mpaka wanafunzi wote wapate vyuo kwanza
 
kwa sasa wanafunz wenye sifa za kupata mkopo .....hawapat......na kama wakipata wanapata wachache.......sijui tatizo liko wap????
 
Wakuu ningependa kufaham kuhusu heslb, ni lini watatoa majina ya wataopewa mkopo, na ni wapi naweza kuyapata,
msaada tafadhali.

Mbona washatoa tayari, ukitaka kujua asilimia ngapi umepata tembelea kwenye kikundi chochote cha vikoba mtaani kwenu.
 
Hatutoi saiz. mpaka tuchagulewe! maana tukikunyima. mtatunyima KURA vijana weng mko UKAHAWA wakt CCM MBELE KWA MBELEE...
 
Siku ya kutoa majina haijulikani na utayapata hapa Higher Education Students' Loans Board -HESLB

Vitu vya kujiuliza ni hivi hapa

Umechaua course ambayo ni priority au non priority?

Umesoma private school O Level au Advance?

Umechagua course za afya au ualimu?



Umefiwa na mzazi mmoja au wote?

Hizi ni baadhi ya factors zinazodetermine asilimia ya mkopo utakaopewa

Answers
1. PRIORITY
2.Private school both alvl and olvl
3.Neither
4.Both are alive
Hapo mkopo ngapi ?
🙂
 
kwa sasa wanafunz wenye sifa za kupata mkopo .....hawapat......na kama wakipata wanapata wachache.......sijui tatizo liko wap????

Fedha zinawekwa kwenye bajeti ya mkuu wa kaya kusafiri kwenda nje ya nchi pale anapojisikia
 
Wakuu ningependa kufaham kuhusu heslb, ni lini watatoa majina ya wataopewa mkopo, na ni wapi naweza kuyapata,
msaada tafadhali.

Na mwaka huu mlivokuwa wengi 💰💲💸
 
Answers
1. PRIORITY
2.Private school both alvl and olvl
3.Neither
4.Both are alive
Hapo mkopo ngapi ?
🙂

hyo no. 3 ndo itakayokupa mkopo mdg zaid.. maana nahc ht km mtu akiwa yupo kama ww lkn akachagua tu either ualim au koz ya afya like udktr bas mkopo ni mia
 
Back
Top Bottom