Kuhusu database ya utumishi

Kuhusu database ya utumishi

J4junior

Senior Member
Joined
Feb 14, 2018
Posts
173
Reaction score
99
Hiv utaratibu wa kuitwa kazini kwa wale walio kwenye database ya utumishi ni mpaka tangazo la ajira litoke au pale nafasi itakapopatikana ndo watu wanaitwa kazini ..kwa mnaoelewa naomben msaada
 
Hiv utaratibu wa kuitwa kazini kwa wale walio kwenye database ya utumishi ni mpaka tangazo la ajira litoke au pale nafasi itakapopatikana ndo watu wanaitwa kazini ..kwa mnaoelewa naomben msaada
hizo data base ni geresha tu Kama unajuana na vibopa huko utumishi unaitwa kimyakimya.

vinginevyo utaendelea kujifariji tu upo kwenye data base ila mimi naona si kweli.
 
hizo data base ni geresha tu Kama unajuana na vibopa huko utumishi unaitwa kimyakimya.

vinginevyo utaendelea kujifariji tu upo kwenye data base ila mimi naona si kweli.
Duuh
 
hizo data base ni geresha tu Kama unajuana na vibopa huko utumishi unaitwa kimyakimya.

vinginevyo utaendelea kujifariji tu upo kwenye data base ila mimi naona si kweli.
Kwahyo mkuu labda kama ikitokea wanaita watu kwa njia ile ile ya tangazo au inakuaje
 
Hiv utaratibu wa kuitwa kazini kwa wale walio kwenye database ya utumishi ni mpaka tangazo la ajira litoke au pale nafasi itakapopatikana ndo watu wanaitwa kazini ..kwa mnaoelewa naomben msaada
Hawaiti mpaka watoe tangazo la kazi, ukiomba nao wanakuita bila hiyana...
Ukiona tangazo la ajira ambalo linakuhusu omba faster mkuu
 
Kwahyo mkuu labda kama ikitokea wanaita watu kwa njia ile ile ya tangazo au inakuaje
Hapana kwa madai yao jina lako likiwa kwenye data base basi agency ya serikali ikitaka watu wa haraka wanachukuliwa wa kwenye data base direct huko unachosubili ww ni kupigiwa simu tu.

Ila Sijui nini Nani kajamba Nani aliwahi kupigiwa simu directly maana data base inatoa mwanya mkubwa wa watu wenye connection Kubwa ndio anaweza kuitwa hapo.

Kwa sababu Hakuna anayejua kinachoendelea huko nyuma ya pazia na Hakuna mtainiwa anayejijua km yupo kwenye database au lah ni basi tu kujifariji kwingi siku, wiki, mwezi, miaka inaenda.
 
Hapana kwa madai yao jina lako likiwa kwenye data base basi agency ya serikali ikitaka watu wa haraka wanachukuliwa wa kwenye data base direct huko unachosubili ww ni kupigiwa simu tu.

Ila Sijui nini Nani kajamba Nani aliwahi kupigiwa simu directly maana data base inatoa mwanya mkubwa wa watu wenye connection Kubwa ndio anaweza kuitwa hapo.

Kwa sababu Hakuna anayejua kinachoendelea huko nyuma ya pazia na Hakuna mtainiwa anayejijua km yupo kwenye database au lah ni basi tu kujifariji kwingi siku, wiki, mwezi, miaka inaenda.
Nina washkaji kibao wametoboa kupitia database na si Taasisi mbaya sana Database iko ila tu kwa sasa imekuwa haina maana tofauti na miaka ya 2017 ajira zilivyofunguliwa.

Wenda kama unavyosema inatoa mianya kwa Watu wenye Connection maana tangu 2018 uingie hawajawahi kuita kwenye Database na ukiona ni Post 1 au 2 ambayo inafanya isiwe na maana sasa sijui imeelemewa na huku wakitangaza nafasi kila siku za kazi.
 
Wapo watu wameshaitwa kwa njia hiyo nina taarifa nao. Cha msingi ikitokea Interview utumishi usisite kufanya hata kama hutafanikiwa. Huwa wanapiga simu na kukuambia uende Maktaba complex pale ofisini kwao ukachukue barua na kuripoti kazini kituo X
 
Wapo watu wameshaitwa kwa njia hiyo nina taarifa nao. Cha msingi ikitokea Interview utumishi usisite kufanya hata kama hutafanikiwa. Huwa wanapiga simu na kukuambia uende Maktaba complex pale ofisini kwao ukachukue barua na kuripoti kazini kituo X
Mkuu tangu lini utumishi wameanzisha mfumo wa kupigia wasailiwa waliopata kazi simu?
 
Kawaida sana. Hata mm sikuwekwa kwenye Tangazo nilipigiwa simu/ SMS.

Sio ajira zote huwekwa kwenye Placiment Tab kwenye web yao
Mkuu tangu lini utumishi wameanzisha mfumo wa kupigia wasailiwa waliopata kazi simu?
 
Na ukitaka nikupe Ref. Ya mtu ambae alifanya interview nyingine na kazini akaitwa shirika jingine akiwa anajijua amekosa kazi baada ya kutojiona kwenye Placement pia naweza kukupa hadi namba
Acha kuhadithiwa..., Otherwise kuwe na urasimu, majina yanatakiwa yawe wazi Kwa njia ambayo muombaji alitumia kuona tangazo la ajira
 
Nabukitaka nikupe Ref. Ya mtu ambae alifanya interview nyingine na kazini akaitwa shirika jingine akiwa anajijua amekosa kazi baada ya kutojiona kwenye Placement pia naweza kukupa hadi namba
Mkuu mm nina Kama 9+ employed na 3yrs mpka now nafanya hapo psrs Sasa huwezi kunielekeza
 
Back
Top Bottom