Nikupe pole wewe kwa imani yako ya ukanda na ukatoliki lkn nikwambie mimi kama mshabiki wa upinzani, mtu mwenye uelewa wa mambo yanayoendelea nchi ya Tz na hapendi ufisadi (sio mkiristo wala mkaskazini) basi atapenda Chadema. Madesa mliosoma kwa kificho kule mlimani kwenye nyumba ya ibada imewaharibu hata mlielimika mkabaki na inferior complex.Huo ndio wasi wasi wangu si kwa Dr Slaa lakini pekee lakini pia hata kwa Chadema. Kwani kimejengwa katika misingi ya Kikanda (Ukaskazini) na Ukristo. Lakini pia Elimu ya Mtendaji mkuu na maisha yake akiwa mseja na nikilinganisha na niliojifunza tanganyika na kuyaona UDINI unavyo tawala japo umefunikwa na joho zuri sana na mawazo ya wakristo wengi huko dhidi a waislam naona kuna mustakhabali mbaya tena sana..
Napata mashaka na maendeleo ya nchi yenu. Nafikiri ni wakti wenu kujitathmini na kuangalia mustakabhali wa nchi yenu yasije tokea yale ya Suudan,
nawapa pole.
Hebu msitake kuchakachua elimu hapa...mtasema kuwa hicho chuo kina affiliation na university fulani ila tembea dunia yote hii katafute chuo kinachotoa Phd kwa mtu mwenye diploma...
mfumo ni huu...unasoma bachelor..masters..then Phd.
Ni wapuuzi tu watakaoshabikia uchakachuaji wa elimu kama huu.
leteni mfumo huo hapa Tz basi ili tuache kuhangaika na degree,na masters.napiga zangu diploma ya ualimu then nafanya Phd.
Ni afadhali PHD ya Dr. Slaa kuliko PHD ya Prof. Lipumba kama unataka kujua ukweli nendaserikalini uwaulize ni mwanasiasa gani huwa akiongea wanakosa usingizi au nenda kwa wananchi uwaulize ni mwanasiasa gani akiitisha mikutano watajazana kumsikiliza. Dr. Slaa ni exeptional hata rais anajua
Hebu msitake kuchakachua elimu hapa...mtasema kuwa hicho chuo kina affiliation na university fulani ila tembea dunia yote hii katafute chuo kinachotoa Phd kwa mtu mwenye diploma...
mfumo ni huu...unasoma bachelor..masters..then Phd.
Ni wapuuzi tu watakaoshabikia uchakachuaji wa elimu kama huu.
leteni mfumo huo hapa Tz basi ili tuache kuhangaika na degree,na masters.napiga zangu diploma ya ualimu then nafanya Phd.
Mwaka 1958 alikuwa darasa la kwanza. Mwaka huu ana mtoto mchanga! Mzee wetu huyu naye?!
Awali ya yote napenda kukufahamisha mimi sio Mhasibu bali ni mchumi kuanzia Bcom (Udsm-Tz) MBA (Ontario- Can) na PhD (Sofia- JPN). Sijawahi kuwa Mhasibu popote pale katika maisha yangu zaidi kufanya kazi Wizara ya Mipango na baadae kuwa RDD(Regional Development Director- Mwanza. Kabla kurudi Nyumbani Oman (kuukana uraia wa Tz na kuchukua uraia wa Oman).
ndugu yangu Sikonge,
Si kuwa naipenda CCM au chama chochote huko Tz bali nazungumzia hali halisi enu ya Uchumi kama field yangu kwani naguswa sana na maisha ya jamaa, marafiki na hata ndugu zngu huko wanavyoishi na namna nchi inavyoendeshwa.
Kama kawaida yangu kwangu kuimarisha uchumi ni jambo la kwanza na mengine kama siasa ni baadae nacho ni kitu kilichonifanya niondoke TZ. Lakini napenda kukujuza Biashara zangu zoooote ni clean kabisa tunafata sheria zote za nchi yenu na hata ukitaka waambie TRA wakaangalie na kama una ushahidi wowote basi peleka kwenye vyombo husika ili hakhi itendeke. Tupo wazi kwa hilo. Na Mke wangu yapo kama mwanasheria basi mkaonane mahakamani.
Lakini kama mwanadamu ulie sahihi kabisa unatakiwa uhoji kila kitu. Haingii akilini mchumi kama mimi unaniweka kwenye mambo ya medicine ni lazima ujiulize mara mbili.
Nikirudi kwa Dr Slaa , kila wakti namuuliza kwa elimu yako hiyo Je madhehebu mengine huko TZ au waislam watakuwa salama kama wewe ukipewa nchi? Ni nani asiyejua kanisa katoliki na Mtandao wake kuanzia jumuiya zake za Mitaa, kigango, parokia mpaka Taifa.
Je angekuwa Mtu amesomea Uislam kama Prof Juma Mikidadi (aliyewahi kuwa Mbunge wa Kibiti- Rufiji ) ambaye alisomea Islamic Law mpaka masters ake na kisha PhD. Je wakatoliki wangekuwa kimya.
Lakini yote hayo yanataka mtu makini katika kuhoji na hata kujua ukweli wa mambo na kujiridhisha kwa nia ile ile ya mustakabali mzuri wa ustawi wa nchi yako.
Usione Khaya kuhoji kwani ndiko kunakokupa mwangaza wa baadae. Usipende kitu kiasi cha kuona kwenye chongo ukasema kengeza.
By The way, ndugu zangu huko Sikonge wazima? nasikia kuna njaa sana na inshallah nitapeleka chochote soon kuwasaidia.
Wanajamii forum.
Napenda kuwafahamisha kuwa jana nimepokea simu nyingi sana kwani kwa kula hali inaonekana mtpoa hoja/thread ameandika kwa nia ya kutaka kunivunjia mahusiano yangu na jamaa zangu huko Tanzania.
Hakika mimi niliweka hii CV kwa nia njema kabisa kama ambavyo ningeweka ya JK au hata Prof Lipumba au hata yangu mwenyewe kwa nia ya kuijadili na kutathimi mambo mbalimbali kama kiongozi wenu.
Kwa kukataa kuvunja mahusiano yangu na watu huko Tanzania na kuona thread hii haina tija kwangu wala kwa maslahi yoyote kwa jamii yoyote zaidi ya kujikita katika umbeye na uzandiki.
Naomba kusita hapa.
Adios
Hapo kwenye nyekundu, hisia siyo hali halisi. Lengo la threadi hii ilikuwa na itakuwa kueleweshana. Sijui ni kitu gani kinafichwa katika kutoa majibu ya maswali yaliyoulizwa katika threadi hii. Pia sifahamu ni kwa namna gani kujibu maswali 1. na 2. au yote manne ni tatizo, kwanza Slaa ni kati ya wanajamii wa Tanzania. Nlidhani njia sahihi ya kupata suluhisho kwa dhihaka ya PhD ya kusomea ya Dr. Slaa ni kupata majibu ya maswali hayo. Kama hakuna majibu sijui ni kwa nini dhihaka hiyo iendelee.
Wanajamii forum.
Napenda kuwafahamisha kuwa jana nimepokea simu nyingi sana kwani kwa kula hali inaonekana mtpoa hoja/thread ameandika kwa nia ya kutaka kunivunjia mahusiano yangu na jamaa zangu huko Tanzania.
Hakika mimi niliweka hii CV kwa nia njema kabisa kama ambavyo ningeweka ya JK au hata Prof Lipumba au hata yangu mwenyewe kwa nia ya kuijadili na kutathimi mambo mbalimbali kama kiongozi wenu.
Kwa kukataa kuvunja mahusiano yangu na watu huko Tanzania na kuona thread hii haina tija kwangu wala kwa maslahi yoyote kwa jamii yoyote zaidi ya kujikita katika umbeye na uzandiki.
Naomba kusita hapa.
Adios
Hebu msitake kuchakachua elimu hapa...mtasema kuwa hicho chuo kina affiliation na university fulani ila tembea dunia yote hii katafute chuo kinachotoa Phd kwa mtu mwenye diploma...
mfumo ni huu...unasoma bachelor..masters..then Phd.
Ni wapuuzi tu watakaoshabikia uchakachuaji wa elimu kama huu.
leteni mfumo huo hapa Tz basi ili tuache kuhangaika na degree,na masters.napiga zangu diploma ya ualimu then nafanya Phd.
Kwa muda mrefu sasa, suala kuhusu kisomo cha darasani cha Dr. Slaa na hasa PhD limejitokeza mara nyingi. Kwa namna ya pekee nimeshavutiwa kuanzisha mjadala wa tafakuri ya kina kuhusu PhD ya Dr Slaa ambaye ni rais wa moyoni kwa watu wengi. Kwa kuanzia, nawasilisha mawazo ya mwana JF ambaye amedhihaki CV ya Dr Slaa. Ningependa kumwalika ndugu huyu kushiriki katika mjadala ili kujaribu kujibu maswali yafuatayo ambayo yametokana na dhihaka juu ya PhD ya kusomea ya Dr. Slaa.
Barubaru aliandika kwa kubeza CV hii ya Dr. Slaa hivi:
''Profile ya Dr Slaa EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960''
Maswali kwa Barubaru na wachangiaji wengine:
1. Je kuna tofauti gani ya kifalsafa na ki-empirical katika NADHARIA zinazoongoza utafiti wa sheria za kanisa na sheria nyingine?
2. Je kuna tofauti gani ya kifalsafa na ki-empirical katika njia za kufanya UTAFITI katika sheria za kanisa na sheria nyingine?
3. Je ndugu anayedhihaki PhD ya Dr. Slaa anamfahamu vipi Thomas Aquino?
4. Je ndugu anayedhihaki kisomo cha darasani cha PhD ya Dr. Slaa anafahamu jinsi St. Thomas Aquino (Dr. Slaa amesomea chuo cha St. Thomas Aquino mwasisi wa elimu ya sheria ya nchi za Magharibi kama alivyoonyesha ndugu anayetoa dhihaka) alivyochangia katika maendeleo ya elimu ya sheria katika nchi za Magharibi? Kwa kujibu maswali hayo utaona dhahiri ubora wa hali ya juu wa PhD ya sheria na ya kusomea ya Dr. Slaa.
<br />
<br />
kumbe huyu jamaa kaonganisha vicertificate kibao vya ajabu, alafu hana hata degree,,,ni kijiproma tu...alafu cv ina utata mbona form 5na6 kasoma mwaka mmoja? mchakachuaji huyu jamaa...alafu umesahau cv yake ile aliyo chakachua hela za msaada wa walemavu pale baraza la maskofu akiwa katibu mkuu na wakamtimua...teh teh teh!!!
Wana Jf tunamaliza time kudiscuss thread kama hizi posted by EDUCATED BARBARIAN' sijui rubaruba shame on u.!