Hivii mtu akitaka kusoma AMO afate taratibu zipi kwa sasa hivi....?
Japo kwa Tanzania haipo,je akitaka kusoma nje inawezekana??
Na taratibu na vigezo zipoje???
Hivii mtu akitaka kusoma AMO afate taratibu zipi kwa sasa hivi....?
Japo kwa Tanzania haipo,je akitaka kusoma nje inawezekana??
Na taratibu na vigezo zipoje???
Internal usiihisabie mkuu ni kama upo kazini kwa mafunzo hapo uhesabie mwaka huo mmoja kitu ambacho sio mbaya maana ukija na Mshahara ukiajiriwa super ila Clinical una bachela then utahangaika maana sidhani kama hata serikali tayari wamewaconsider hawa watu au wanapewa heshima inayostahili.