pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 516
- 815
Wakuu jumapili njema!
Wakuu hizi ajira za walimu zimekaa kisiasa zaidi,kwani ukiangalia toka 2015 mpaka 2020 mkuu wa nchi ameajiri walimu wachache sana.
Kwa upande wangu ninavyoona hizi ajira zisipotelewa wakati huu wa kapeni means before 28 October watakaopata watakuwa wengi kuzidi idadi alioitoa mkuu wa nchi kwani zitaenda kuaribu Sera za viongozi pia mgombea wa ccm atapunza popularity kwa wafaasi wake..na upande wa pili watapata cha kuongea zaidi kwani walimu wengi sana wanazisubili mpaka sasahiv walimu waliomba wamefikia 91234 uku wanaotakiwa ni 13526 ndo ujue kuna hali tete mtaani.
Ila zikitoka wakati wa uchaguzi ukiwa umepita walimu wengi waandike maumivi sana kwani mpaka miaka mingine mitano ijayo.
Pia walimu wa science hizi kazi zinawahusu sana especially physics &math kwa walimu wa sanaa kazi ipo..
Vigezo ambavyo wengi wanasema katika hizi ajira ni 1.ufahuru,2.mkopo,3.uhitaji wa masomo na vigezo visivyojulikana.
Nawatakia jumapili njema wakuu.
Wakuu hizi ajira za walimu zimekaa kisiasa zaidi,kwani ukiangalia toka 2015 mpaka 2020 mkuu wa nchi ameajiri walimu wachache sana.
Kwa upande wangu ninavyoona hizi ajira zisipotelewa wakati huu wa kapeni means before 28 October watakaopata watakuwa wengi kuzidi idadi alioitoa mkuu wa nchi kwani zitaenda kuaribu Sera za viongozi pia mgombea wa ccm atapunza popularity kwa wafaasi wake..na upande wa pili watapata cha kuongea zaidi kwani walimu wengi sana wanazisubili mpaka sasahiv walimu waliomba wamefikia 91234 uku wanaotakiwa ni 13526 ndo ujue kuna hali tete mtaani.
Ila zikitoka wakati wa uchaguzi ukiwa umepita walimu wengi waandike maumivi sana kwani mpaka miaka mingine mitano ijayo.
Pia walimu wa science hizi kazi zinawahusu sana especially physics &math kwa walimu wa sanaa kazi ipo..
Vigezo ambavyo wengi wanasema katika hizi ajira ni 1.ufahuru,2.mkopo,3.uhitaji wa masomo na vigezo visivyojulikana.
Nawatakia jumapili njema wakuu.