Kuhusu afcon 2015 startimes jibuni hapa

Kuhusu afcon 2015 startimes jibuni hapa

sabufa

Member
Joined
Apr 21, 2013
Posts
26
Reaction score
4
Baada ya kuondoa channel za ubc na kbc mwaka 2013 hatukuona live AFCO katika startimes.Je mwaka huu tutaona?.Au tuhame?
 
Hata Mimi bado nipo nao,ngoja tuwasubili watupe majibu!,maana TBC washajichokea...
 
Back
Top Bottom