Kuhiji makkah

Kuhiji makkah

Mzito Kabwela

Platinum Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,904
Reaction score
7,746
Wakuu, Waislam wamesheherekea sikukuu ya IDD juzi na wengine jana.

Sasa nauliza, kwakuwa mji wa Mecca ulikutanisha binadamu zaidi ya Milioni Mbili kutoka mataifa mbali mbali, je ni faida zipi za kiuchumi watazipata wananchi wa Saudi Arabia kutokana na mamilioni ya wahujaji kwenda huko?

Kuna mawakala wa kuwasafirisha watu kutoka Tanzania kwenda Mecca. Nao wanafaidikaje kiuchumi?

Je, ukienda kuhiji, unaruhusiwa kuingia mtaani kufanya japo shopping ya kanzu?


Maswali mengine yanakuja....
 
mtu mzima huoni aibu kusema"nasikia" ktk ulimwengu ambao kila kitu kimeshaandikwa! Tembelea hata google usome, ili usiburuzwe buruzwe
 
Nasikia kuna jiwe jeusi na baathi ya mabaki vitu vya zamani kabla ya uslamu kuwepo kwani hiyo alkaba ilikuwa inatumika na wapagani walikuwa walikuwa nipahala pa kutunzia miungu yao wapagani hao kabla ya uislam
 
Mimi huwa nasikia kuwa wakiwa kule huwa wanampiga shetani kwa mawe na lenyewe likiwageukia linawafukuza mpaka wanakanyagana wao kwa wao je hayo ni ya kweli???????[/QUOTE

Imani, Imani, Imani..................................................

wanapotupa mawe hawampigi shetani ila wanaashiria kitendo cha kumlaani shetani na Si kumpiga!
 
Darasa la saba utawajuwa tu,hili ni janga la taifa,bora mkasome per form one course,kuliko kupoteza mda wenu.

Sasa wewe uliyesoma nini maana ya per form one? Acha ujuaji wakati hujui. Mjibu aliyeuliza kwa adabu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Vijana wa tanzania tujenge utaratibu wa kusoma na kuacha ujuaji..kila mtu anajibu naskia naskia ..ni aibu

Sasa wewe mhamiaji si utoe elimu tu? Unajua kweli matumizi ya kiswahili? Mtu akiandika "nasikia" unatakiwa umwambie iliyo kweli ili nae apate ilm murua! Kama hujui kaa kimya, kama unajua elezea we mwenye utamaduni wa kujisomea. Nini maana ya majukwaa haya kuwekwa kama c kupashana habari kwa usahihi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wakuu, Waislam wamesheherekea sikukuu ya IDD juzi na wengine jana.

Sasa nauliza, kwakuwa mji wa Mecca ulikutanisha binadamu zaidi ya Milioni Mbili kutoka mataifa mbali mbali, je ni faida zipi za kiuchumi watazipata wananchi wa Saudi Arabia kutokana na mamilioni ya wahujaji kwenda huko?

Kuna mawakala wa kuwasafirisha watu kutoka Tanzania kwenda Mecca. Nao wanafaidikaje kiuchumi?

Je, ukienda kuhiji, unaruhusiwa kuingia mtaani kufanya japo shopping ya kanzu?


Maswali mengine yanakuja....

Hakuna faida yoyote kwakua kila kitu wanapewa bure kuanzia usafiri,chakula,wakiingia madukani wanabeba zawadi waitakayo bila gharama,

Mimi huwa nasikia kuwa wakiwa kule huwa wanampiga shetani kwa mawe na lenyewe likiwageukia linawafukuza mpaka wanakanyagana wao kwa wao je hayo ni ya kweli???????

ndani ya alkaaba kumejazwa vitu gani


Mimi huwa nasikia kuwa wakiwa kule huwa wanampiga shetani kwa mawe na lenyewe likiwageukia linawafukuza mpaka wanakanyagana wao kwa wao je hayo ni ya kweli???????[/QUOTE

Imani, Imani, Imani......................... .........................

Nasikia kuna jiwe jeusi na baathi ya mabaki vitu vya zamani kabla ya uslamu kuwepo kwani hiyo alkaba ilikuwa inatumika na wapagani walikuwa walikuwa nipahala pa kutunzia miungu yao wapagani hao kabla ya uislam

Hivi kila HIJJA lazima MSIBA??? Tena wanaokufa ni wengi. This time zaidi ya mahujaji 130 wamekufa, sasa hii inakuwa toba
au balaa tupu.

Jibu sasa Wewe unayefahamu! Kwani hujamsikia hata Rais wako huwa anasema nasikia? Au nimeambiwa? Nasikia kuna mahujaji 130 wamefariki kutokana na mkanyagano wakati wakilikimbia li-shetani?!!

Hajj




Kaaba tarehe 1 Januari 2003 (wakati wa hajj)



Hajji katika Masjid al Haram mjiniMakka, Saudia



Ramani ya vituo vya haji

Haji au Hajj (Ar. حج&#8206😉 ni hija ya Waislamu kwenda Makka penye jengo la Kaaba. Inafanywa wakati wa mwezi Dhul-hijja ambayo ni mwezi wa 12 wa kalenda ya Kiislamu, hasa tarehe 8 - 12 za mwezi. Katika Uislamu hija hii ni wajibu kwa kila Mwislamu mwenye uwezo wa kuifanya angalau mara moja maishani mwake.

Hajj inaanza siku ya 8 ya Dhul-hijja kwa kuingia katika hali ya ihram; hii inafanywa kwa kuoga kufuatana na masharti ya dini na kwa wanaume kwa kuvaa nguo za hajj ambazo ni vitambaa viwili vyeupe pekee. Viatu

haviruhusiwi isipokuwa kandambili. Wanawake hawana masharti kuhusu mavazi isipokuwa hawaruhusiwi kufunika uso. Hapo wanaingia Makka mjini wakifanya tawaf yaani kuzunguka Kaaba mara saba. Baadaye wanaelekea kwenda bonde la Mina wanapolala katika hema zilizoandaliwa. Wengine wanatangulia kufika Mina kabla ya tarehe hii.

Siku ya 9 Dhul-hijja wanaelekea mlima wa Arafat kwa umbali wa kilomita 10 wanapokaa wakisimama na kusali hadi jioni. Baada ya machweo wanaenda Muzafila wanapolala.

Kabla ya macheo siku ya 10 Dhul-hijja wanarudi Mina ambako wanafanya ibada ya kumrushia sheitani mawe. Ishara ya sheitani inayotupiwa mawe ilikuwa nguzo ya mwamba inayoitwa jamarat lakini baada ajali nyingi ambako watu walikosa nguzo na kuwapiga wenzao kwenye upande mwingine kuna sasa ukuta. Baada ya kurusha mawe 7

wanaume wanakata nywele zote za kichwani (wanawake nywele kadhaa pekee). Halafu wanachinja sadaka maana siku hii ni sikukuu ya Idd ul Adha. Siku hizi kondoo 1 anachinjwa na wachinja wanaoajiriwa kwa kila haji.

Sehemu kubwa ya nyama inawekwa katika friza na kutumwa baadaye kwa watu maskini kote duniani.[SUP][1][/SUP]
Baadaye wanarudi Makka kwa tawaf ya pili kwa kuzunguka Kaaba mara saba. Kutoka hapa wanaenda "sa'i" wanapotembea mara saba kati ya vilima vya Safa na Marwa wakifuata nyayo za Hagar aliyetafuta hapa maji kwa mtoto wake Ismail.

Siku zinazofuata wanakaa tena Mina wanarusha mara ya pili mawe kenye kuta za jamarat.
Hajj inakwisha kwa kuzunguka Kaaba mara ya tatu na mwisho.
Mahujaji wengi wanatumia nafasi kutembela mji wa Madina baada ya hajj na kuona msikiti wa mtume.

Mwislamu aliyetimiza safari hii anapewa cheo cha heshima alhaji au hajjakwa wanawake.
Safari ya kutembela Makka nje ya siku za hajj huitwa umrah haina cheo sawa na hajj yenyewe.
Idadi ya mahujaji inaelekea kuwa milioni tatu kila mwaka. Hadi mwaka 2006 ajali nyingi zilitokea kutokana

msongamano mkubwa wa watu lakini baadaye serikali ya Saudia imeajiri wataalamu kutoka kote duniani kupanga njia salama kwa mahujaji hasa kwa kutenganisha watu wanaoelekea pande mbalimbali na njia za kufika na kuondoka. Siku hizi mahali ambako watu wengi wanatakiwa kuzunguka sehemu moja zimejengewa majengo ambako watu wanaweza kutembea kwenye ghorofa wakati mmoja.






Jewish convert to Islam does pilgrimage to plain of Arafat





 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe mhamiaji si utoe elimu tu? Unajua kweli matumizi ya kiswahili? Mtu akiandika "nasikia" unatakiwa umwambie iliyo kweli ili nae apate ilm murua! Kama hujui kaa kimya, kama unajua elezea we mwenye utamaduni wa kujisomea. Nini maana ya majukwaa haya kuwekwa kama c kupashana habari kwa usahihi?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kama mtu hajui aisijitie anajua..
 
Dhahiri mmeonyesha division 5 zenu haya endeleeni kusikia na muendelee kwenda kumhiji tb joshua.
 
Haya matokeo ya watoto wa darasa la saba mpaka yakitoka,tutakuwa tumesoma ujinga mwingi.Bora muende kusoma pre form one course.

Wewe kama unajua jibu swali si kurukia darasa la saba,kama wewe umesoma sana jibu swali,Naisitoshe haya ni mambo ya Imani kisomo hakihitajiki hapo maana waweza soma madarasa yote lakini usijue Mambo ya Imani za wengine
 
Jibu sasa Wewe unayefahamu! Kwani hujamsikia hata Rais wako huwa anasema nasikia? Au nimeambiwa? Nasikia kuna mahujaji 130 wamefariki kutokana na mkanyagano wakati wakilikimbia li-shetani?!!

Acha upumbavu ww km hujui nenda Google sifa zako za kijinga peleka kanisan kwenu ukalawitiwe vzr
 
Back
Top Bottom