Kuna tofauti ya kumpotosha mtu na kumwambia ukweli. Fedha ikashatoka kwenye muamala wa MPesa kwenda kwa ajili ya malipo akaunti ya benki mlolongo wale wa kuipata ni headache, transaction ya kuirudisha kwenye account yako ni ngumu mno. Si rahisi kihivyo unavyosema. Kuna jamaa yangu alilipa hivyo hivyo kutoka Mpesa kwemda NMB laki saba, ilikuwa Julai 2019, leo ni Machi 6, 2020 bado anahangaikia kuipata hiyo fedha. Usimpotoshe, Mpesa wenyewe wanakuambia hawama access ya kuirudisha muamala uliofanya malipo kwenye account ya benki. That's it.