dalalimbeya
New Member
- Nov 3, 2018
- 4
- 0
Wakuu habari za leo, kuna vitu naomba kujua kwa watanzania wanaoishi south africa au watanzania ambao waliwahi kuishi south africa
1) Ni mji gani south africa wenye vyumba bei rahisi?
2) Ni biashara gani naweza kufanya kama muhamiaji?
3) Is it worth it kwenda huko??
Ni hayo tu wakuu
1) Ni mji gani south africa wenye vyumba bei rahisi?
2) Ni biashara gani naweza kufanya kama muhamiaji?
3) Is it worth it kwenda huko??
Ni hayo tu wakuu